Werrason
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 13,223
- 39,930
Winners chapel kuna nini???Hahaha
Najikaza natufta nizipate mapema
Nisha pata mawasiliano na winners chapel

Winners chapel kuna nini???Hahaha
Najikaza natufta nizipate mapema
Nisha pata mawasiliano na winners chapel

HahahaSasa bado kuanzisha tawi tu
AaahWinners chapel kuna nini???![]()
Nilikuwa kanisaniMambo yako mazuri wewe.... Ndo maana unaamka saa tatu na zaidi
Nzuri mdau, habari za weweWadau habari za Jumapili?
Kwa hiyo hampendi kwa kuwa alitoka man u au?Anhaaa
Bas sawa
Maana nmeona hate yako kwa ronaldo iko juu kama PNC 1
Ronaldo aliwahi kuwa mchezj wa man u pia mkuu, ndo mchezaji pekee wa man u kutwaa ballon d'or akiwa pale
Kwa hiyo hampendi kwa kuwa alitoka man u au?
We real miss Ferguson ila Jose atatuwekea mambo sawahahaha Fergie alikuwa anaogopeka na marefa kiasi cha marefa wenyewe wanajikuta wanakuwa na presha kubwa na mwisho wa siku wanatuzawadia penati na mbeleko nyingine.
We miss u Fergie
MorningGoodmorning guys
Alikuwa akifata nyayo za BeckhamAnhaaa
Bas sawa
Maana nmeona hate yako kwa ronaldo iko juu kama PNC 1
Ronaldo aliwahi kuwa mchezj wa man u pia mkuu, ndo mchezaji pekee wa man u kutwaa ballon d'or akiwa pale
Hili jibu nimelipendaJimena yuko vizuri kwa kweli
Hahaha mimi sijawahi kumchukia Ronaldo ila mnapomlinganisha na Messi hapo ndio unapoona namchukia.Anhaaa
Bas sawa
Maana nmeona hate yako kwa ronaldo iko juu kama PNC 1
Ronaldo aliwahi kuwa mchezj wa man u pia mkuu, ndo mchezaji pekee wa man u kutwaa ballon d'or akiwa pale
Umepatia kabisa...Mama Rahmaninho sijui nimepatia jina?![]()
Jide aliwahi kutuambia Siku hazigandi mkuu..Duh!!!....nine years ago??? Miaka inakimbia!!!
Ni kweli Briz muda wake badoKiwelu kwa kweli cja muona nna miaka miwili humu
Alafu briz ana tym zake flan hvi
De gea ni bora kuliko nuer, provided that Neur ana watu 11 ndani wanao mprotect ambao hawako sawa kabsa na wale 11 wa kwa de geaHahaha mimi sijawahi kumchukia Ronaldo ila mnapomlinganisha na Messi hapo ndio unapoona namchukia.
Ni sawa uniambie De Gea ni bora kuliko Neuer tutabishana mpaka asubuhi.
Ni shiiiiidaKwa hiyo hampendi kwa kuwa alitoka man u au?
Tunarudi katika glory days chini ya Jose. #BelieveWe real miss Ferguson ila Jose atatuwekea mambo sawa