Makapuku Forum

Makapuku Forum

016225548d58d35fd23a7138d772600f.jpg
18a826a6ba962eee75681e7283ad1ed9.jpg

Mkorofi huyu mwarabu
............
Anaujua sana ila majeruhi tu
 
Hvi bro wewe kweli ni shabiki hasa wa man u!!?
Numeanza kushabikia Man utd, siku Cantona alipostafu kucheza Man utd. 1997.

Unazi ukakolea zaid baada ya treble season ya 1999.

Nikawa sikosi mechi yoyote ya United toka msimu wa 2003-04. Nimefatilia kwa kina sana mechi nyingi za United msimu kwa msimu mpaka Sir Alex anastaafu.

Baada ya hapo utawala wa Moyes na LvG sijawahi kuwaelewa na hata mechi nimeanza kuangalia kwa kusuasua japo nimebaki loyal na Man Utd na sijawahi kufikiria kuhama klabu, Once a Red always Red.

Najiandaa kurudi kwa kishindo hasa huku mtaani kwangu baada ya appointment ya Jose Mourinho.

Kwa kifupi Mimi ni Man Utd Damu ambaye sijawahi kutetereka hata siku moja. Ila najua una wasiwasi na mimi kuhusu CR7. Kwangu mimi Messi ni bora kuliko Ronaldo. Hivyo yaani.
 
Numeanza kushabikia Man utd, siku Cantona alipisatafu kucheza Man utd. 1997.

Unazi ukakolea zaid baada ya treble season ya 1999.

Nikawa sikosi mechi yoyote ya United toka msimu wa 2003-04. Nimefatilia kwa kina sana mechi nyingi za United msimu kwa msimu mpaka Sir Alex anastaafu.

Baada ya hapo utawala wa Moyes na LvG sijawahi kuwaelewa na hata mechi nimeanza kuangalia kwa kusuasua japo nimebaki loyal na Man Utd na sijawahi kufikiria kuhama klabu, Once a Red always Red.

Najiandaa kurudi kwa kishindo hasa huku mtaani kwangu baada ya appointment ya Jose Mourinho.

Kwa kifupi Mimi ni Man Utd Damu ambaye sijawahi kutetereka hata siku moja. Ila najua una wasiwasi na mimi kuhusu CR7. Kwangu mimi Messi ni bora kuliko Ronaldo. Hivyo yaani.
4a7e84dc385322d6ea3135507bc897ea.jpg

Logo yetu ya zamani kipindi cha Babu Fergie

........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom