Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,226
- 68,242
Bado nipo Ujerumani au ushasahau?Oya mwanangu jana ndo ukasepa
Daaah pole bhana
Hamia poland next mech
Bado nipo Ujerumani au ushasahau?Oya mwanangu jana ndo ukasepa
Daaah pole bhana
Hamia poland next mech
pamoja sanaAhsante mzee wa historia
Anaujua sana ila majeruhi tu![]()
![]()
Mkorofi huyu mwarabu
............
Nenda kale heshima irudi nyumbani maana hamna namna sasa

Nasisi kama hatumuoni vileeeKuna watu wana shangaza yaan ana chuki na makapuku kias ana kuja kutusema huku huku
Alaf ina onekana wa siku nyingi ila kafungua ID ya pili kwa lengo hilo tuu
Ntajitaidi. AsanteAsante....
Hii segment imekufaa sana sasa hakikisha kila siku unaendelea nayo
Niko vizuri sanaNme amka vzuri
Sijui wewe
Hvi bro wewe kweli ni shabiki hasa wa man u!!?pamoja sana
SanaaaaaAna idea nzuri ila kama hako
Consistent hvi
Aifanye daily hyo ni safi sana
Bas mefurahi kuskia hvoNiko vizuri sana
Sio kujitahidi hakikisha inakuwaNtajitaidi. Asante
AmenMbele yake nyuma yetu
R.I.P
........
Umeshaanza kuzichanga ili ule mvinyo tuhakikishe unapatikana??Bas mefurahi kuskia hvo
HahahaUmeshaanza kuzichanga ili ule mvinyo tuhakikishe unapatikana??
Umeshaanza kuzichanga ili ule mvinyo tuhakikishe unapatikana??
Hahaha
Najikaza natufta nizipate mapema
Nisha pata mawasiliano na winners chapel
Gudi mkuuWadau habari za Jumapili?
Numeanza kushabikia Man utd, siku Cantona alipostafu kucheza Man utd. 1997.Hvi bro wewe kweli ni shabiki hasa wa man u!!?
asante kwa ushauri na nitaufanyia kazi mkuu!!Sio kujitahidi hakikisha inakuwa
Numeanza kushabikia Man utd, siku Cantona alipisatafu kucheza Man utd. 1997.
Unazi ukakolea zaid baada ya treble season ya 1999.
Nikawa sikosi mechi yoyote ya United toka msimu wa 2003-04. Nimefatilia kwa kina sana mechi nyingi za United msimu kwa msimu mpaka Sir Alex anastaafu.
Baada ya hapo utawala wa Moyes na LvG sijawahi kuwaelewa na hata mechi nimeanza kuangalia kwa kusuasua japo nimebaki loyal na Man Utd na sijawahi kufikiria kuhama klabu, Once a Red always Red.
Najiandaa kurudi kwa kishindo hasa huku mtaani kwangu baada ya appointment ya Jose Mourinho.
Kwa kifupi Mimi ni Man Utd Damu ambaye sijawahi kutetereka hata siku moja. Ila najua una wasiwasi na mimi kuhusu CR7. Kwangu mimi Messi ni bora kuliko Ronaldo. Hivyo yaani.