Szczesny
JF-Expert Member
- Apr 15, 2016
- 7,180
- 25,925
Waende kwa kweli ila wales na england wali igomea EU completely, pia watu wa exit wali focus england na wales kwenye kura nying zaidNi kweli alichokwambia,
Lakini mi naamini Scot watatoka
Waende kwa kweli ila wales na england wali igomea EU completely, pia watu wa exit wali focus england na wales kwenye kura nying zaidNi kweli alichokwambia,
Lakini mi naamini Scot watatoka
Itabidi tuihame![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Maskin sweeden, timu ytu hyo
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Birthday ya Messi mi ya nn

hahaha...na wewe mtanie tuTatizo anapenda sana kunitania
Ataondoka tuu, maana akisubur achomolewe itanid ufanyike uchaguz kabsa so ataondoka ili awaacha tories wandelee kushka madarakaHebu ngoja tuone itakuaje. Waziri ameshasema ikifika October atajihuzulu
Kidogo mkuu, siasa huwa zinanivutia sana mkuuJambilo uko vyema ki uchambuzi
Mi naumia kama wewe vile ila sku jua kama tulitoka kwa aibu hvoBasi sawaaaaa

Messi mchezaji hodari kuwahi tokea katika ulimwengu wa soka. Mpe sifa zake mkuu![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Maskin sweeden, timu ytu hyo
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Birthday ya Messi mi ya nn
AaahKidogo mkuu, siasa huwa zinanivutia sana mkuu
HaaaaaMessi mchezaji hodari kuwahi tokea katika ulimwengu wa soka. Mpe sifa zake mkuu
Sio kwa aibu wala.... Kawaida tuMi naumia kama wewe vile ila sku jua kama tulitoka kwa aibu hvo
![]()

Inabidi ang'atukeHebu ngoja tuone itakuaje. Waziri ameshasema ikifika October atajihuzulu
Sawa bas uje tuu ujeruman mpaka hapo nayo itakapo tokaSio kwa aibu wala.... Kawaida tu
Siku zote kwenye mashindano lazima mshindi apatikane hamuwezi kushinda wote![]()
Wakati jamaa wanataka kujitenga ckujuaga hasa kwanini wanataka kutoka, ndipo nilipoanza kufuatilia nkaona jamaa wako sahihi kujitoa kwani wanataka kulinda ajira zao.Jambilo uko vyema ki uchambuzi
Wale walioshindwa kutufinga basi wasahau kwa sasa! New era, New hope. #Believe

Nilikuwa namchukia Messi lakini baada ya kutufunga na kutunyanyasa kwenye Uefa hasa ile fainali ya 2011 pale Wembley mpaka Sir Alex akatetemeka toka siku ile niliacha kumchukia Messi, jamaa yuko level nyingine hebu ntajie beki kisiki ambaye hakuaibishwa na Messi?Haaaaa
Mi kwangu siyoo
Hiyo kwenu nyie
Hivi itawezekana kweli??Itabidi tuihame![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Maana hamna namna sasahahaha...na wewe mtanie tu
CR7Messi mchezaji hodari kuwahi tokea katika ulimwengu wa soka. Mpe sifa zake mkuu