shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Sasa mwambieni aende jukwaa la lughaAnatapika kimombo huyo.. utafikiri amemeza mayai viza
![]()
![]()
![]()
![]()
Poa, habari ya wewe?Mambo wiii
Burudani yetu ipo kesho tenaKwema mkuu!!?
Euro lin tena!!?
Habari ya jioni mkuuBurudani yetu ipo kesho tena
salama, vp Ijumaa yako imeendaje?Habari ya jioni mkuu
Nzuri!Poa, habari ya wewe?
Tutarajie Cr7 akifunga hat-trick keshoBurudani yetu ipo kesho tena
Itabidi wao na northern IrelandWascott itabidi wajitoe UK maana wao wanataka kuwepo EU
Pamoja na hayo utatokeamtikisiko wa uchumi kwa muda, kuanzia leo pound imeshuka sana, japo baada wataimarika mnoo kiuchumiHihihiii
Ingekuwa kwetu uchaguz ungefutwa
Imeenda vizuri sanaaaaa.....salama, vp Ijumaa yako imeendaje?
Ndio maana yakeTutarajie Cr7 akifunga hat-trick kesho
NaaamBurudani yetu ipo kesho tena