Makapuku Forum

Makapuku Forum

Wakati jamaa wanataka kujitenga ckujuaga hasa kwanini wanataka kutoka, ndipo nilipoanza kufuatilia nkaona jamaa wako sahihi kujitoa kwani wanataka kulinda ajira zao.
Kwasasa wageni wamezidi kupora ajira zao kwa kigezo cha sera za eu kuwa ukiwa nchi mwanachama vile vikwazo vya viza na kufanya kazi vinaondolewa.
Hivyo kujiondoa kwao ajira nyingi zinakuwa za raia na uchumi wao unaweza kuwa mzuri baadae japo kwa sasa watayumba sio chini ya mwaka
Mimi siasa za bongo baada ya kuona hazilipi now nko radhi hata nifuatilie siasa ya trinidad and tobago wenzetu wana jitambua kwl kwl
 
Nilikuwa namchukia Messi lakini baada ya kutufunga na kutunyanyasa kwenye Uefa hasa ile fainali ya 2011 pale Wembley mpaka Sir Alex akatetemeka toka siku ile niliacha kumchukia Messi, jamaa yuko level nyingine hebu ntajie beki kisiki ambaye hakuaibishwa na Messi?
Yaan wewe ni Minorty man u fans ambao wana mpenda messi
Sawa sawa na myahudi kumpenda hitler
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom