Makapuku Forum

Makapuku Forum

a173bdccaf9b03ae5aeac6abdefe5de7.jpg
I ogopa ban
I'll not jibujibu ile pumbavu
Ungabure kera sana underground he call us dunderheads wkt his brain is full of ganja
I'll chukia yy always
.......
Sikiliza Ganja farmer wa Marlon Asher
 
Sidhani... Serikali haitakubali,
Juzi kati hapa waliishinikiza serikali kuacha kupokea wakimbizi vinginevyo watahakikisha uchaguzi ujao wanakitoa kile chama madarakani,
Ngoja tuone itakavyokuwa
Hahaha
Kwa sweden sidhani, uingereza wao huji feel wanatakiwa wawe nje ya EU toka kitambo tuu

Ila hiyo kulazimishana immigrants ndo wata wachefua watu sasa

Yaan uko UK watu walichafukwa na roho
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom