Makapuku Forum

Makapuku Forum

Soma na hii
The piece of a plane wingairline found today in the Indian Ocean on the island of Kojani, Pemba - Zanzibar off coast of Tanzania.

It is believed to be Part of the Missing Malaysia Airlines Flight MH370 and investigation is ongoing.

Transport Minister Darren Chester said the Australian Transport Safety Bureau was seeking further information on the item, which was discovered on Pemba Island.

Several pieces of debris that authorities say are almost certainly from the plane have been recovered during the past year on the shorelines of South Africa, Mozambique, and Rodrigues and Reunion islands.

======

Bawa kubwa la ndege limeokotwa na wananchi leo katika Bahari ya Hindi kwenye Kisiwa cha Kojani, Pemba. Haijafahamika ni la ndege ya shirika gani.

Sehemu ambayo inaaminika ni mabaki ya ndege imevuliwa katika bahari ya hindi katika ufukwe wa kisiwa cha kojani pemba.

Bawa la ndege lililopatikana katika bahari ya kisiwa kidogo cha kojani huko kisiwani pemba zanzibar, yamezusha mjadala mkubwa miongoni mwa wakazi wa kisiwa hicho huku wengi wakiamini ni bawa la ndege ya malaysia ambayo ilipotea bila kujuilikana hatima yake. Ndege ya shirika la Malaysia Airlines yenye chapa MH370, iliotoweka Machi 8 mwaka 2014 haijawahi onekana hadi leo.

Ingawa bado hakuna uhakika ni mabaki ya ndege gani, wataalamu wa usafiri wa anga wamenza hatua ya awali ya uchunguzi wa mabaki hayo ya ndege.

Taarifa zinasema tayari maofisa wa usalama wameanza kulifanyia uchunguzi bawa hilo na huenda si muda mrefu tukapata maelezo ya kutosha kutoka vyombo vinavyohusika
View attachment 359349 View attachment 359350 View attachment 359351

Waziri mkuu wa England Davd abwaga manyanga
 
Nilitoweka nimerejea
1466755188013.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom