Makapuku Forum

Number 4, The Korowai Tribe


Wako kusini mwa Papua NewGuinea, kwa mara ya kwanza walijua kuwa wao hawapo peke yao dunian mnamo mwaka 1989 walipo kutana na archiologist mmoja huko kwny vijiji vyao, walidhan hakuna mtu zaid yao na kw kipind hiki wana kadiriwa kuwa zaid ya 3000, wao hawataki kubadilisha tamaduni zao kwana wana amini waki ziacha tamaduni hizo,dunia itapatwa na tetemeko kubwa na wata kufa wotee na hiyo ni imani ya kimapokeo
 
Number 3, The Mashco-Piro Tribe

Hawa wanaishi misitu ya Amazon inayo itwa Manuu park huko Peru mpaka mara ya mwisho wana kutana na binadam mwingine ali kadiria kuwa wako kama 250 na hiyo ni mwaka 1998, wao huish kwa ku winda , na kula mizizi na hawajawahi onekana na watu wengne toka mwaka huo
 
Number 1,

Hawa wanaishi huko kwenye kisiwa kati ya India na Thailand
Wao hawajulikani maisha yao kwan hakuna aliye wahi kuwasogelea alaf mshale wa sumu uka mkosa, wameish zaid ya miaka 60,000 hapo hapo kwenye kisiwa
Picha hiyo walipgwa mwaka 2004 wakati wa tsunami na waligoma kutoka na bado wali survive

Inadhaniwa wanaish kwa kuvua samaki, kuwinda na pengne kulima

Ni moja ya watu ambao hawajawahi kumuhifadhi hai mgeni wao yyte
Hivo hawa ndo watu walio jitenga zaid kuliko woote
 
Basi mtalipwa nyingi
 
Hawa kiboko
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…