Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,636
FTaifa Viazi Vs Ivory Coast VifaruzBasi ndio maana
Mechi gani hiyo
..............
FTaifa Viazi Vs Ivory Coast VifaruzBasi ndio maana
Usishangae akawa padre..Ha ha ha sidhani.....
Sema dogo akikua itakuwa mtafutano
Siku moja najitokea zangu Kinondoni studio nikipita service road kuelekea Mkwajuni, nikaamua kula winga ya kushoto kwenda kutokea bara bara ya hananasifu inayotoka Mkwajuni...hee mitaa ya kati hamadi nakutana na kabinti kati ya miaka mitatu na minne kyupi mkononi na kavulana ka miaka kama miwili hakana kaptula huku binti anatetema kwa woga...nauliza mlikuwa mnafanya nini...kabinti ''tulikuwa tunafanya tabia mbaya'' Hikli kizazi wee acha tu!Acha tu wafaidi
Anhaaa
Thanks mkuu one family
Tuna sambaza upendo
Amani sana braza.
Ni kawaida yake kupotea atarudiKajificha alichokozwa
.........
Anaangalia viatu tu![]()
Hawa watoto tunaozaa siku hizi daaah...
Mbona wapo vizuri sana![]()
Hawa watoto tunaozaa siku hizi daaah...
Naona jamaa ndo anatuachia sisi tuendelee kubishana then yeye anakimbia. Nimependa ubunifu wake.Kapotea hapa kurudi ni keshoooo au jioni na stori mpya kabisa
Kikubwa ni support tu, ikiwezekana hata leo lazima nimpite.Komaa umpite Mchawi Jr
![]()
![]()
![]()
![]()
........
Hahahaaa....Ilifanyika Tanzania ?
Tulimfunga Ivory Coast ya mtaani hadi Kipre Tcheche alikuwepo
![]()
![]()
![]()
![]()
.........
Ongeza mautunduKikubwa ni support tu, ikiwezekana hata leo lazima nimpite.
Nimeinasa mtaa wa piliKapuku umetoa wapi picha ya Bitoz![]()
Nahisi atarudi wikendi.Jonax hajawahi kuwa serious kabisa....
Nimefurahi kama umenipata vilivyoYeap yeap we c ndo unajuaga kunielekza apo nimekusoma
Masista watakionaUsishangae akawa padre..
Unamwona huyu anayesoma plate number?Mbona wapo vizuri sana
![]()
![]()
![]()
.........
Hali inatishaSiku moja najitokea zangu Kinondoni studio nikipita service road kuelekea Mkwajuni, nikaamua kula winga ya kushoto kwenda kutokea bara bara ya hananasifu inayotoka Mkwajuni...hee mitaa ya kati hamadi nakutana na kabinti kati ya miaka mitatu na minne kyupi mkononi na kavulana ka miaka kama miwili hakana kaptula huku binti anatetema kwa woga...nauliza mlikuwa mnafanya nini...kabinti ''tulikuwa tunafanya tabia mbaya'' Hikli kizazi wee acha tu!