EMMYGUY
JF-Expert Member
- Aug 6, 2015
- 11,115
- 25,414
Nipe habari kaka.Zimefika emmyguy
Nipe habari kaka.Zimefika emmyguy
Kitabu cha Mithali, nitakuletea chapter na verses zakeHakika Sunday school ilinijenga sana mpaka sasa nakumbuka..
Kweli nmeamini ule mstari usemao Mlee mtoto njia impasayo hata akikua hata iacha.. sikumbuki huu mstari unapatikana wapi?
Tuache tabia za nidhamu za woga za ktz. Mwembie mtu wazi kwa upendo naye atajirekebisha. Yalipita tuyaache kabisa wakuu wangu...peace sanaKweli kabisa ila tusiamshe vilivyolala..
Cha msingi tuepuke shari tu. ukiona mtu anatafuta shari unampotezea tu.. coz naamini "kunyamaza kimya ni pigo kubwa kwa mjinga"
hamna kitu..

KweliHiyo mkuu inapatikana Methali 22:6 inasema Mlee mtoto katika njia impasayo, Naye hataiacha, Hata atakapokuwa mzee..
Usitukane mkuuHaya ni magazeti ya kufungia maandazi pumbaaavu
Nipo kaka, nafurahi kukuonaJambilo upo?
Aaah siku yangu ni njema sana, cjui wewNipe habari kaka.
Inapendeza mkuuTuko salama mkuu
Mchana ukoje kwako kakaInapendeza mkuu
Namshukuru Mungu kwa pumzi ya bure anayonijaalia. Mchana mwema kaka.Aaah siku yangu ni njema sana, cjui wew
uko poa kimtindo! sijui kwako mkuu?Mchana ukoje kwako kaka
Nashukuru ni kwema kabisa twawajibika tu mkuuuko poa kimtindo! sijui kwako mkuu?
Hili litakuwa anytime tuHapana shaka kaka. Nimeshaona wazo lako sa sijui utakuwa unafanya mda gani hasa?
Pamoja sanaaTuache tabia za nidhamu za woga za ktz. Mwembie mtu wazi kwa upendo naye atajirekebisha. Yalipita tuyaache kabisa wakuu wangu...peace sana
Ilikua burdanZilikuwa barua za shule ya msingi enzi zileee, teh
Pamoja sana mkuuNipo kaka, nafurahi kukuona
Poa mkuu, endelea kushika zamu ya mchana tutakuja baadaePamoja sanaa