Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,636
Duuu wewe kibokoWala sikulala mapema nlipita humu night kali nkakuta ulishaaga kitambo
Hata mabasi ya mkoa wapo watu wa dizaini hiyoHahahahaaa.... Mie ni wa mkoani.
![]()
![]()
![]()
Wao wanaandika ili wauze tuNdo magazeti yetu pendwa hayo, na ukifungua ndani si ajabu ukakuta stori tofauti kabisa na hiyo title
Hilo pia linawezekanaAu unakuta ni kipande ndani ya movie
Kushow some loveHuwa napenda kuuanza huu uzi kwa kusambaza upendo kwanza
Habari inaweza isiwe ya hivyo... Hiyo ni katika kupamba tu juu ili wauzeNahisi itakuwa ni kati ya bara la Afrika na Australia.
![]()
![]()
![]()
SanaaaaHaha hao jamaa ni mafundi wa kunogesha hyo page ya mwanzo aisee
We utaanza lini sasa??? Najua hukosi...
Sukari ipo hapo??
Hapa leo patachimbika![]()
Kimenukaaaa![]()
![]()
Naomba uchukue kitengo cha kutuletea habari na umbea wa kijiwe chako unachokuwepo mda mwingi hata kama ni ofisini.Naombeni na mimi kitengo
Maana naona wewe unadili kwenye magaazeti, yule kwenye top ten na bitoz kwenye mpira.
![]()
![]()
![]()
![]()
All in all safi sanaaaa na muendelee hvyo hvyo

Mimi nitakuja na ubishi tu usio na tija.. napenda sana mabishano yasiyo na msingiWe utaanza lini sasa??? Najua hukosi...

Aaah salaleeee..ufundi unahitajika hapo!
Ni nzuri kaka. Mambo yako vipi?Habari ya asubuhi FAMILIA??
Kisamvu kinakwenda kutoa mtu roho..Hapa leo patachimbika
Hahaa kazi zangu hazina muda maalumDuuu wewe kiboko
Yani kwenye habari ya Kukesha nakukubali mbaya
Amesema atakuja na ujio wa ubishiNaomba uchukue kitengo cha kutuletea habari na umbea wa kijiwe chako unachokuwepo mda mwingi hata kama ni ofisini.
![]()
![]()
![]()