EMMYGUY
JF-Expert Member
- Aug 6, 2015
- 11,177
- 25,511
Mzima wewe kaka?Ikiwa wewe ni mgonjwa,na ukawa umelala na akaja muuguzi kukuamsha ili akupe dawa za usingizi ili ulale,basi kabla hujakubali dawa hizo mdai cheti chake cha taaluma! Shikamooni!