EMMYGUY
JF-Expert Member
- Aug 6, 2015
- 11,115
- 25,415
Mzima wewe kaka?Ikiwa wewe ni mgonjwa,na ukawa umelala na akaja muuguzi kukuamsha ili akupe dawa za usingizi ili ulale,basi kabla hujakubali dawa hizo mdai cheti chake cha taaluma! Shikamooni!
....