Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,266
Vp unakumbukumbu gani!Poa X
Vp unakumbukumbu gani!Poa X
Bonjour, comment ca va???Bonjour
Hahahhahah Shemeji nakukubali mno katika hili..Hahahaaaa waambie Mimi ni simba mwendapole, mawindo hakosi, wakivunga wengine wanisubiri kwa hamu
Mkuu wewe ni shahidi huwa natumia dkk 2 tu mrembo yoyote yuko mikononiHhahahhahah Shemeji nikisikia hilo jina nakumbuka nyimbo 2 tu...wakwanza ni ule ''Nakulaaa kwa macho'' na wa pili ''Kamataaa chini kamatia chiniiii'' hahahahah cheka mbya sana kabisa nikikukumbuka..
Mkuu,sikuwahi kukosa nidhamu humu jukwaani..Hahahahah Bila shaka utaonyesha nidhamu ya hali ya juu sasa...Nini ilikuwa mbaya mkuu?
Kabisa kabisa ila wengi wanaotumia madawa huwa na mwisho mbaya sana..Hii ndo ajira yao hao ma-body builder.
Linamo kanituliza sioni tenaaaaHahahhahah Shemeji nakukubali mno katika hili..
Mtukufu yupiMkuu,sikuwahi kukosa nidhamu humu jukwaani..
Wako kwenye harakati za kudumisha fikra za mtukufu wao..ukikosoa tu unakula ban..
Hahahaha ulinifurahisha sana eti baba mtumish naomba niongoze sala ta toba hapa hapa...hahahahhahaMkuu wewe ni shahidi huwa natumia dkk 2 tu mrembo yoyote yuko mikononi
Pole sana mkuu wangu na karibu tena ndugu..Mkuu,sikuwahi kukosa nidhamu humu jukwaani..
Wako kwenye harakati za kudumisha fikra za mtukufu wao..ukikosoa tu unakula ban..
Nina kumbukumbu ya joto la sumbai, kwani wewe unayo ya kitu gani my X?Vp unakumbukumbu gani!
Dada nakumiss..Looh![]()
![]()
![]()