Makapuku Forum

Makapuku Forum

Unajua wewe u mzuri sana, japo linamo akuzidi kwa mbali, pia tumefanya mengi na wew, so tunazo kumbukumbu za Hisia nzuri na mbaya.
Unajua vyema, ukarimu, ufundi, care yangu,najua hutanisahau kwa haraka Lakini nitafurahi ukiiheshimu ndoa yangu, na ukubali kuwa sio wangu tenant.
Nilikupendaga hakuna mfano...byeeee
Natambua hilo... Na wewe sio wangu tena, you are now mtumba,... aka used.. aka mabaki... aka masalia.. aka makombo ambayo for now ndo Linamo anayahusudu... Am now with mkaka mzuri... Mwanaume wa ukweli, anayeufanya moyo wangu kila time uende mbioooo... sumbai
 
Natambua hilo... Na wewe sio wangu tena, you are now mtumba,... aka used.. aka mabaki... aka masalia.. aka makombo ambayo for now ndo Linamo anayahusudu... Am now with mkaka mzuri... Mwanaume wa ukweli, anayeufanya moyo wangu kila time uende mbioooo... sumbai
Huyu ndo mkaka mzuriii????
1466412200410.jpg
 
Nilitulia tulii... Kaanza kinichokonoa kuwa nina kumbukumbu ya nini... Joto la sumbai tu ndo nalikumbuka shemeji yangu... Ya kwake kwa sasa ni skrepa... Nishayatupa jalalani kitambo Sana
Hivi ni wewe uliyekua unanishukuru hadi unalia baada ya mchezo?
Uliyeahid hutaniacha kwa shida na raha!
Uliyenisifia kila niletapo Assad na kupiga magoti kunishukuru!
Niliyekufanya ujione wa thamani na pekee duniani!
Uliyekuwa una.....???
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom