Makapuku Forum

Makapuku Forum

The man is very conservative... Labda azaliwe upya shemeji, kama hakubadilika wakati akiwa mtumishi itawezekanaje kipindi hiki akiwa muumini wa Kawaida? Nampa polee Linamo
Lakini nadhani ana-potential fulani ndiyo maana hata wewe Shemeji ulikubali akakuoa ila baadae ukajaona ulichokiona japo nakumbuka alisema wewe ndiyo chanzo cha mtafaruku wenu..hahahah..So na dada angu Linamo bado anaendelea kuona ile potential ya pastor mpaka pale atakavyoona vingenevyo..
 
Basi usikubali umchoke...Ukiona anaangalia angalia kushoto na kulia hakikisha hatoona image ingine yeyote isipokuwa wewe tu dada angu...Na huwa nakaa nasema asnate nyingi kwa Muumba kwa jinsi alivyotumia mda wake kukufinyanga na kukufanya mrembo sana dada angu...
Oooo huyu mtoto aliumbwa asubuhi, wakati muumba ananguvu zoteee, mtoto ni mkali balaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom