Linamo
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 9,976
- 24,498
Ohoooo acha tuHhahahahahahahah aka Kamata chini...kamatia chini....Shemeji we noma saaaaana
To you too my dada yangu..Upo poa leo?Morning my kaka
Daaah jasho lilinitokaHhahahahahahahah aka Kamata chini...kamatia chini....Shemeji we noma saaaaana
It was so funny Shemeji....Sasa wakati tunaendeleza safari nilikuwa nacheka mwanzo mwisho.....Daaah jasho lilinitoka
Thanks sana mkuu..Mambo vp lakin?Manuu karibu kaka
Morning sana mkuu...Niaje?Morning family
Ameshazipokea hapa my dada..Mpe Hi my kaka
Hahahahah Dada jambilo labda hujampa kiti akakaa kabisa na kuamini yeye ndiye mkalia kiti kwa sasa hviyo anajaribu kutafuta kiti atakacho kalia vizuri...Muaminishe tu kuwa ni yeye kwa sasa na husikii wala hutaambiwa na yeyote...Kaka huyo anajitoa ufahamu halafu nataka nimpe talaka maana anaonekana hajatulia hata kidogo macho kayaweka juu juu Kama tai.
Tatizo ana mambo mengi Kama chumviHahahahah Dada jambilo labda hujampa kiti akakaa kabisa na kuamini yeye ndiye mkalia kiti kwa sasa hviyo anajaribu kutafuta kiti atakacho kalia vizuri...Muaminishe tu kuwa ni yeye kwa sasa na husikii wala hutaambiwa na yeyote...
Poa mkuu, hajambo Shem?Morning sana mkuu...Niaje?
Dada angu unakumbuka kuna wimbo mmoja wa dini unasema...Huyo ni chaguooo lako...Sorry sauti yangu mbaya sana...Tatizo ana mambo mengi Kama chumvi
Tumuombee tu, hamna namna nyingine ya kumsaidiaSijui tunamsaidiaje sasa huyu jamaa