Makapuku Forum

Makapuku Forum

3b0d0a0f7e596dc5af38e5f7ac6c6071.jpg

Aje wasomi
.............
 
Nashukuru sana Alhamis nilikuwa kwenye send-off moja japo nilikuwa High kimtindo lakini nilipata fursa ya kuufuatilia wimbo ule kwa kina na niligundua una ujumbe mzuri mno...Kwa wale wanaoanza uchumba...So please take your time sikiliza wimbo ule utakufanya uzidi kumpenda Shemeji yangu jambilo
Cristabela akusalimu
 
Si tulitangaza agano la amani jana? Au unataka nianze?
Unajua wewe u mzuri sana, japo linamo akuzidi kwa mbali, pia tumefanya mengi na wew, so tunazo kumbukumbu za Hisia nzuri na mbaya.
Unajua vyema, ukarimu, ufundi, care yangu,najua hutanisahau kwa haraka Lakini nitafurahi ukiiheshimu ndoa yangu, na ukubali kuwa sio wangu tenant.
Nilikupendaga hakuna mfano...byeeee
 
Hhahahhahah Shemeji nikisikia hilo jina nakumbuka nyimbo 2 tu...wakwanza ni ule ''Nakulaaa kwa macho'' na wa pili ''Kamataaa chini kamatia chiniiii'' hahahahah cheka mbya sana kabisa nikikukumbuka..
Hahahaaaa waambie Mimi ni simba mwendapole, mawindo hakosi, wakivunga wengine wanisubiri kwa hamu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom