Una akili sana, unanifaaaKweli hapo atalaumiwa mtumiaji lakini kwa upande mwingine wauzaji ni tatizo tusiseme tu kwa nini atumie tujiulize Kama wasingeuingiza nchini wangeutumia? Hata Kama kungekuwa na mateja lakini si kwa kiwango ambacho kiko sasa. Mbaya zaidi hawa ma drug delears ni watu wenye nyadhifa kubwa.
Umesalimika?Morning
Km Ommy PozipoziKuna wale wengine ujanja ukizidi wanakuwa mashoga
Kuna
Tatizo unaitwa fake pastor bila Shaka kila kitu chako ni fake fake tuUna akili sana, unanifaaa
Ni kweli..Chidi yuko kwenye uangalizi mzuri Sana ray c baada ya kutoka sober house alikuwa na Uhuru Sana.halafu chidi hakuathirika Kama ray c.
Tatizo unaitwa fake pastor bila Shaka kila kitu chako ni fake fake tuUna akili sana, unanifaaa
Mkuu nilishakuwa halisi, ufake kaondoka nae patience123Yani unaitwa fake pastor then unataka tuwe mwili mmoja
Nyani haoni kind...le
Hasira hapanaaa
Try to call her
Mkuu goodmorn
Ohooo ya kale yamepita yaani kila ki tu kwangu ni saafi situmii magari ya kichina wala simu, kila kitu ojiiTatizo unaitwa fake pastor bila Shaka kila kitu chako ni fake fake tu
Km Ommy Pozipozi
...........
Na hilo ndo la msingi kumuombea Mungu amuepushe maana swala la kuacha madawa ni maamuzi ya mtumiaji mwenyewe kwanza halafu wengine ndo wanaplay part yao.Ni kweli..
Lakini Chid bado cna imani naye..
Mungu amuepushe tuu
Hata mimi naona,maana unevipanga kabisaNimeamka mapema ili nikamilishe mishe mapema kwasababu leo ni furahi day
Jina lako lenyewe la kichinaOhooo ya kale yamepita yaani kila ki tu kwangu ni saafi situmii magari ya kichina wala simu, kila kitu ojii
Why, wakati TCRA hawajazima kifaa chako???Malencontreusement tuu mkuu
Ukifanikiwa tutakuporaa tuu hahahahaaUna akili sana, unanifaaa
Si uokokeNimeamka mapema ili nikamilishe mishe mapema kwasababu leo ni furahi day
Kwahiyo sisi ambao hatunusi Ungadu hatujui unapouzwa?Kweli hapo atalaumiwa mtumiaji lakini kwa upande mwingine wauzaji ni tatizo tusiseme tu kwa nini atumie tujiulize Kama wasingeuingiza nchini wangeutumia? Hata Kama kungekuwa na mateja lakini si kwa kiwango ambacho kiko sasa. Mbaya zaidi hawa ma drug delears ni watu wenye nyadhifa kubwa.
Unauhakika ????Km Ommy Pozipozi
...........
Jamn jina la nini???Jina lako lenyewe la kichina