Makapuku Forum

Una akili sana, unanifaaa
 
Kwahiyo sisi ambao hatunusi Ungadu hatujui unapouzwa?
Mfano kitaani kwangu wadhikaji zangu wa zamani 80% wanakula unga lkn Bitoz najitambua na sijawahi onja hiyo kitu
Huwezi sema watengenezaji wa pombe au gongo walaumiwe kisa walevi wanakufa ,pia mbona watu wanasex kinyumenyume na wengine hawafanyi ?
Uamuzi wa maisha yako upo mikononi mwako cha msingi uwe na msimamo hata km unaonekana mshamba
Y.O.L.O
...............
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…