amaizing
JF-Expert Member
- May 3, 2013
- 3,616
- 12,398
Hivi ShemDah....ngoja nifuturu labda naweza kuelewa.....je bint under 18 ana mtoto na anajielewa yupo kundi gani
Wewe ni mvulana au mwanaume?????
Hivi ShemDah....ngoja nifuturu labda naweza kuelewa.....je bint under 18 ana mtoto na anajielewa yupo kundi gani
AiseeHuyo mwanamke
Kwanza under 18 ili aitwe msichana lazima awe na usichana wake, kama hajautunza huyo ni mwanamke asa kama anajielewa atakuwa mwanamke anaejielewa ila kama hajielewi atakuwa mwanamke mwenye akili za kitoto
Unajua Kiswahili kigumu sana labda tujaribu kuweka kwa kidhungu.Hivi Shem
Wewe ni mvulana au mwanaume?????
Mimi ni mwanaume kamili.Nisaidie Shem
Hivi wewe ni mvulana au mwanaume???
Aiseee....kwa maaana Hiyo Tanzania hatuna wasichana kabisaaaaAtaitwa msichanamama.
Huyo mwanamke
Kwanza under 18 ili aitwe msichana lazima awe na usichana wake, kama hajautunza huyo ni mwanamke asa kama anajielewa atakuwa mwanamke anaejielewa ila kama hajielewi atakuwa mwanamke mwenye akili za kitoto
Are you a Boy or a man????Unajua Kiswahili kigumu sana labda tujaribu kuweka kwa kidhungu.
Kwan under 18 wote hawajatunza usichana wao?????Aiseee....kwa maaana Hiyo Tanzania hatuna wasichana kabisaaaa
Hakyanan

Kwan kuna tofauti gani kati ya mvulana na mwanaume???Mimi ni mwanaume kamili.
Mvulana hajabalehe bado(au under 18)Kwan kuna tofauti gani kati ya mvulana na mwanaume???