Makapuku Forum

Makapuku Forum

Acheni ligi isiyo na maana
MVULANA/BINTI ni mtu ambaye bado ni kijana na hajazaa sio ambaye hajafikisha miaka 18
Mfano :
*Unaenda kuoa binti wa miaka 20 coz bado "hajazaa/hajazeeka"
...........
Tunachangamsha akili

Kwahiyo mwanamke wa 30 years anaejielewa na bado hajazaa ni msichana???????

Coz kijana mwisho 45 years kama sijakosea...
 
Hawa watawafanya watoto wa watu wajikoboe kumbe ni 720
Hamna shida ya kujikoboa mimi hizi ndiyo type zangu.
8f29094eec0c81dc8da96b8d09b9e4cf.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom