Makapuku Forum

Makapuku Forum

basi huku kwetu wasije
d92085b5c22478b3e6fc88b1655da2c5.jpg
 
Uswazi balaa mkuu, maji taka yao yanatoboa mabomba ya chemba maana upate yaliyotoka Tandale ambayo ni mixer Spea za kuku kwa maana ya vichwa miguu na utumbo,dagaa maji chumvi...kama yakihifadhiwa vizuri tunaweza kujipatia gesi yetu mjini na kuvunja uhusiano na watu wa mtwara wanaotusimanga na gesi yao!
Ushawahi kula tembele la chooni??
 
Yupo mtu mwenye # zangu na tunajuana na ni mtu anayeheshimu PRIVACY japo yupo hapahapa
Tutaheshimiana
.........
Kweli mwingine haeshimu mawasiliano ya mwingine kitu ambacho siyo kizuri. Nami yupo mtu ana namba yangu na anaheshimu Sana mawasiliano yangu kwa kweli.
 
Kweli mwingine haeshimu mawasiliano ya mwingine kitu ambacho siyo kizuri. Nami yupo mtu ana namba yangu na anaheshimu Sana mawasiliano yangu kwa kweli.
Mfano mmegombana anakuanzishia thread na picha zako za WhatsApp atasambaza huku JF
FOOLISH
... .......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom