Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ukimpata aliyetoka kwenye maji taka baridi yaliyotoka vyoo vya ushuani ni watamu sana...tena umpate Kambale aliyekula mabaki ya maji taka msimu wa sikukuu ni watamu sana!
ef550c0e36de9163a9a0ef97d93bf81a.jpg

Usituzingue
Uswaz is the best
........
 
ef550c0e36de9163a9a0ef97d93bf81a.jpg

Usituzingue
Uswaz is the best
........

Uswazi balaa mkuu, maji taka yao yanatoboa mabomba ya chemba maana upate yaliyotoka Tandale ambayo ni mixer Spea za kuku kwa maana ya vichwa miguu na utumbo,dagaa maji chumvi...kama yakihifadhiwa vizuri tunaweza kujipatia gesi yetu mjini na kuvunja uhusiano na watu wa mtwara wanaotusimanga na gesi yao!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom