Linamo
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 9,976
- 24,498
Ni balaa hakuna haja swimming poolKenya....ni mfano wa Uswahilini kwetu
![]()
Hapa kitaa kwetu
......

Ni balaa hakuna haja swimming poolKenya....ni mfano wa Uswahilini kwetu
![]()
Hapa kitaa kwetu
......

After that![]()
![]()
Nyumbani ni nyumbani![]()
Lkn napapenda
........
Nyumbani ni nyumbani
Yani hapo ndo town kwenu![]()
Hapa ndo pakujidai....Mabibo Muleba/Mwisho
.............
Goma nitaokota huku halfLondonAmletee na goma kabisa
Goma nitaokota huku halfLondon
la huko shamba ndo zuri ya mjini mengi used

Ndo pakutambia na kung'oa totoz za kijanjaYani hapo ndo town kwenu
Kuna kitu umesahau hapo....Wanasema vitoweo vichafu ndo huwa vitamu zaidi.
Eg.kitimoto,bata na hao kambale
Hivi mtu akipata shida sisi members wengine tutajuaje?Hayupo JF kaangalie last seen
........
WasalimieNdo pakutambia na kung'oa totoz za kijanja
..........
NitafurahAnakudanganya huyo. Nitakuwa na nahrene hivyo usijali sana
Kwani umefika wapi?Kuna kitu umesahau hapo....
Kwakeli hii inanipa wasiwasi.Youngblood fata ushauri wa Bitoz