Linamo
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 9,976
- 24,498
Duh nimeanza kukuogopa
Duh nimeanza kukuogopa
Mbona wako hivyo??
Saivi mji umepoa sana mkuu sababu ya huu mwezi*Oh.....
Ila Siku hizi zile fujo zimepungua saana.....
Bitoz![]()
Wanapatikana kwenye majitaka lkn watamu balaaaaaa
![]()
![]()
![]()
![]()
......
hiyo harufu ya hayo maji vipi?? MaanaAisee.Nazifahamu mkuu.....ila sio saana
Ntamwambia linamo anipe somo
Shida yako kitoweo mitamu au ?Bitoz![]()
hiyo harufu ya hayo maji vipi?? Maana
Hao kambale si ndo hao ambao wanakula wanakuzwa na nnya za choooni?![]()
Njooni Mabibo Beach mle PEREGE
.........
Asante sana mkuu,usisahau karanga mbichi na asali pamoja na nyanya chungu...Ikurudie tu ndugu,heshima mnazo ninyi wa mjini huko huku shamba tuna tabia za mbuzi mbuzi tu na wanyama wengine wafugwao...nikija mjini nitakuletea muhogo na matufaa!
Hao kambale si ndo hao ambao wanakula wanakuzwa na nnya za choooni?
Basi nitafutie kitoweoShida yako kitoweo mitamu au ?
Mbona ng'ombe au bata wanakula matakataka lkn tunawala TU
........
Ukimpata aliyetoka kwenye maji taka baridi yaliyotoka vyoo vya ushuani ni watamu sana...tena umpate Kambale aliyekula mabaki ya maji taka msimu wa sikukuu ni watamu sana!![]()
Wanapatikana kwenye majitaka lkn watamu balaaaaaa
![]()
![]()
![]()
......
Ha hahahahh aiseeHiki ni zaidi ya kibahiki ni kipilipili
![]()
![]()
![]()
![]()
Usiogope mkuu,mambo ya kawaida sana tu.Duh nimeanza kukuogopa
ila nimemmis sana

Kumbe Bitoz ananidanganyaeeeWa mtaroni![]()
![]()
![]()
Basi nitafutie kitoweo
Nahrene atanisaidiaAisee.
Sidhani kama Linamo atakupa somo zuri...
Bitoz hao wamevuliwa hapo???
Dingi anashangaa chupi ya mtoto ilivyosheheni ujazoHiki ni zaidi ya kibahiki ni kipilipili
![]()
![]()
![]()
![]()
