Makapuku Forum

Makapuku Forum

Uswazi balaa mkuu, maji taka yao yanatoboa mabomba ya chemba maana upate yaliyotoka Tandale ambayo ni mixer Spea za kuku kwa maana ya vichwa miguu na utumbo,dagaa maji chumvi...kama yakihifadhiwa vizuri tunaweza kujipatia gesi yetu mjini na kuvunja uhusiano na watu wa mtwara wanaotusimanga na gesi yao!
e0b1f150634c88f815e80d1c49d04416.jpg

......
 
Hujalazimishwa
Ubishoo ndo maana mnapata magonjwa ya ovyo na vipumbu kidogo km goroli
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
.......

Kwa muktadha huo ina maana wenye korodani kubwa kama beberu ni result ya kupiga huu msosi wa maji yetu yale siyo? Gudi gudi...hii ni home work!
 
Back
Top Bottom