Naona kijana dharau zimezidi au??? Hivi unajiona weewe umesoma saana au???? Who told you kapuku ni wanafunzi??? Acha zako braza....
Nimekustah kwa vile tunafamiana..ila you always think and talk negative about this people
Kuna watu wapo hapa wana profile kubwa na wanasifa kubwa humu Jf kyliko weewe...
Behave pls