Dakuuu timeMda wa makapuku kuanza kuamka
Dakuuu time
Mda wa makapuku kuanza kuamka
Mkuu mbona hujaniamsha daku?.Dakuuu time

Naona kijana dharau zimezidi au??? Hivi unajiona weewe umesoma saana au???? Who told you kapuku ni wanafunzi??? Acha zako braza....
Nimekustah kwa vile tunafamiana..ila you always think and talk negative about this people
Kuna watu wapo hapa wana profile kubwa na wanasifa kubwa humu Jf kyliko weewe...
Behave pls
Kumpotezea ndio ila huyu Jamaa rafiki yangu naona anazidi kujisahau...
Salama mkuu. Mimi nitaweka tilesHabari ya asubuhi makapuku wote.
Amkeni tukajenge taifa,leo sitaki kusikia habari za "nitakuja kupaka rangi".
wewe jenga kwanza
