Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
Kaulize shule sasa mi sio mwalimuYawezekanaje?
Kaulize shule sasa mi sio mwalimuYawezekanaje?
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu, umenena yatokayo moyoni na umemalizia vizuri.Mi sipendi kuzunguka ndomana nimekuwa wazi na ningefurahi kama ungefanya nilivyokuomba ila pia sio kesi
Hiyo ndo fomula langu kwahiyo naomba uielewe hivyo.
Ungekuwa smart zaidi ukajiuliza kuwa mbona wengine nawapa labda ungepata majibu, na kama ujumbe huu pia uliufikisha kwa niaba ya mtu fulani hope amepata majibu ya kuridhisha.
Naomba nikutakie week end njema tu maana kwenye hili sina la ziada.
Peace and love
Nilikuwa namuelewesha mjumbe maana alinituhumuBado mnahangikia likes wakuu??? Dah haya bwana
Swadakataaaaaa karibu sana na uwe huruKuna mambo ya ujasiliamali, siasa, mahusiano, afya kwa ujumla kuna watu wana uandishi mzur Wa kuelimisha na hata mtu akikosoa anatoa hoja za msingi hili ni darasa toshaa
Navijua, kama kaka hana msimamo ndoa nitaikosa.Hee we usijifanye hujui vijinaneno vya mawifi
Naogopa mkuu.Ha hahhaha kwanini kiongozi
Okay poa.Mi sipendi kuzunguka ndomana nimekuwa wazi na ningefurahi kama ungefanya nilivyokuomba ila pia sio kesi
Hiyo ndo fomula langu kwahiyo naomba uielewe hivyo.
Ungekuwa smart zaidi ukajiuliza kuwa mbona wengine nawapa labda ungepata majibu, na kama ujumbe huu pia uliufikisha kwa niaba ya mtu fulani hope amepata majibu ya kuridhisha.
Naomba nikutakie week end njema tu maana kwenye hili sina la ziada.
Peace and love
Profile zinaonyesha kila kitu mtu utakuta kalike post 5000 tu sasa hapo ukigawanya utapata jibuPunguza uongo ww......mbahili wa likes danganya wasiokujua TU
![]()
![]()
![]()
![]()
.........
Utani usioudhi nizuri, hata nami napenda utani but usio udhi na matusi spendiBarikiwa pasta.....
Mimi napenda utani mno...pasta
Hongera sanaaaaa![]()
Nimetupia kitu cha![]()
![]()
![]()
![]()
reply
..............
Halafu kakomba 18000Profile zinaonyesha kila kitu mtu utakuta kalike post 5000 tu sasa hapo ukigawanya utapata jibu
Unaeza soma ila utaregardiwa as private kandidates mkuuiv mtu anaweza akasoma form 5&6 kwa mwaka mmoja?
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu, umenena yatokayo moyoni na umemalizia vizuri.
Nashauri tulitendee kazi neno hili (peace and love)
Hahahahahaha ila nilikuwa natania tuNavijua, kama kaka hana msimamo ndoa nitaikosa.
Peace![]()
![]()
![]()
![]()
By the way mi na youngblood hatujagombana na sidhani kama tunaweza kugombana kwahiyo hilo lisikupe shida.
One love
Rais wetu hapo ndio wewe?
Mambo ya Youngblood hayo daah
Najua my wiiHahahahahaha ila nilikuwa natania tu