Mwinyi_ole_mushi
JF-Expert Member
- Oct 29, 2015
- 1,636
- 4,420
Haina kwereU too....kiongoz
Haina kwereU too....kiongoz
Na kwako pia mkuuUsiku mwema my family
Ha hhahhhha......ndio nasubiri Spain wabebeKashindwa Ibrahim Msuya
Aweze damuchanga
![]()
![]()
![]()
![]()
.......
Asante nduguNa kwako pia mkuu
Generator limewaka tanesco wamechukua umeme wao.Oy iv ni neno gani saiv limesambaa mtaani kwakwo.....kwangu mimi #ni ngozi & mwendokasi
Ulale salamaAsante ndugu
Ha ha ha hivi yuko wapi yule dogo mtaka urais Ibrahim MsuyaKashindwa Ibrahim Msuya
Aweze damuchanga
![]()
![]()
![]()
![]()
.......
Mkuu karibu tena....Aisee nimewamisi makapuku wenzangu... Simu ilizngua.. Naipenda team yangu #makapuku Fc.. Hapa no stress..no bifu... no kuitwa kilaza.... Kabla hujacoment ushapewa likes zakutoshaa... !!
Kama mwanasheria wa makapuku tunaandaa muswaada wa hii thread iwe stick au tupewe jukwaa kabisa la makapuku....!
Heshima kwenu viongoz
Bitoz
Th Name
Jimena
Salamu pia kwa makapuku wote. yo all knw we're the best![]()
![]()
![]()
Cc Jf Moderators
Chakula chochote kabla ya kuliwa lazima kiombewe....Huyu mkapuku sijui anaombea nini!!!!
View attachment 354576
Mmh nakugawa bureChakula chochote kabla ya kuliwa lazima kiombewe....
Hususani chakula cha wakubwa...
We huombagi??? Mkuuu
Morning. Mungu akuongoze na wewe Shem.Good morning all.....
Another day we thanks God....
Tumuombe Mungu atubariki katika harakati za kutafuta mkate Wa kila Siku
Mungu atubariki afya njema. Mungu bariki na waliokitandani wagonjwa
Wabariki na sisi tunaotembeza bahasha zetu kila office
Wabarik walimu tarajari wanaosubir serekali kuwapangai
Bariki amani ya taifa hili Maaana weewe ndio mfalme Wa amani. Kama maandiko matakatifu yanavyosema alindae nyumba Yake bila wewe akesha bure
Bariki kapuku wote hususani wale walioadimika popote pale walipo...
Ameeen.....
Jimena shikamoo....
Nasubiri magazet...mamii
Amina.Good morning all.....
Another day we thanks God....
Tumuombe Mungu atubariki katika harakati za kutafuta mkate Wa kila Siku
Mungu atubariki afya njema. Mungu bariki na waliokitandani wagonjwa
Wabariki na sisi tunaotembeza bahasha zetu kila office
Wabarik walimu tarajari wanaosubir serekali kuwapangai
Bariki amani ya taifa hili Maaana weewe ndio mfalme Wa amani. Kama maandiko matakatifu yanavyosema alindae nyumba Yake bila wewe akesha bure
Bariki kapuku wote hususani wale walioadimika popote pale walipo...
Ameeen.....
Jimena shikamoo....
Nasubiri magazet...mamii
Karibu tena mkuuAisee nimewamisi makapuku wenzangu... Simu ilizngua.. Naipenda team yangu #makapuku Fc.. Hapa no stress..no bifu... no kuitwa kilaza.... Kabla hujacoment ushapewa likes zakutoshaa... !!
Kama mwanasheria wa makapuku tunaandaa muswaada wa hii thread iwe stick au tupewe jukwaa kabisa la makapuku....!
Heshima kwenu viongoz
Bitoz
Th Name
Jimena
Salamu pia kwa makapuku wote. yo all knw we're the best![]()
![]()
![]()
Cc Jf Moderators
Morning SumbaiGood morning all.....
Another day we thanks God....
Tumuombe Mungu atubariki katika harakati za kutafuta mkate Wa kila Siku
Mungu atubariki afya njema. Mungu bariki na waliokitandani wagonjwa
Wabariki na sisi tunaotembeza bahasha zetu kila office
Wabarik walimu tarajari wanaosubir serekali kuwapangai
Bariki amani ya taifa hili Maaana weewe ndio mfalme Wa amani. Kama maandiko matakatifu yanavyosema alindae nyumba Yake bila wewe akesha bure
Bariki kapuku wote hususani wale walioadimika popote pale walipo...
Ameeen.....
Jimena shikamoo....
Nasubiri magazet...mamii