Ni kweli Mkuu.Frsh ndugu yangu
Sasa leo naona umekuwa avilable si kama sku nyngne
Sawa ila umeshapata uji!!?Ni kweli Mkuu.
Leo niko hapa mpaka kuchee.
Mbona washangaa tena mkuu.
Uji tayari mkuu,karibu sana.Sawa ila umeshapata uji!!?
Asante mkuu, kwa sasa niko kwenye gari, nadhan nikishuka tuuUji tayari mkuu,karibu sana.
PoaAsante mkuu, kwa sasa niko kwenye gari, nadhan nikishuka tuu
Nakuja kunywa hapo
Asante punje tumepotezanaYoung blood na Jambilo nawasalimu pia
Leo tayari -1
Siku zna ondoka tuuu
umetisha mkuu,moja pia unahesabu!!!
Asante mkuu Leo tumejaa teleyoungblood na jambilo nimefurahi kuwaona.....
Hivi Hamna wakunikaribisha futariiii????
Jimena shikamoo the boss mwenyewe
Hahaha![]()
![]()
![]()
umetisha mkuu,moja pia unahesabu!!!
Upo free kuchatnadhani mi apa sihusiki
Ha haaa tumekukumbuka saanaMekukumbuka sana!
Sawa nitaaga.....nkuletee nmzawadi Gani shemeji....Uage vizuri huko lakini![]()
![]()
Asante mkuu heshima kwakoMkuu heshima yako
Young blood na Jambilo nawasalimu pia
Nzuri kiongoziZa jioni familly