Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
Nadhani hii haimhusu my wiiHata kama maisha magumu. Nikipata hela wanajifanya anarudi
Nadhani hii haimhusu my wiiHata kama maisha magumu. Nikipata hela wanajifanya anarudi
Wifi umemaliza yoteeeeMchunge Kwa kumpatia really Love hapo hatakuwa na muda na wanaume wengine
Ebu nikuibie siri kidogo, unajua mwanamke anayekupenda Kwa dhati na si kutaka pesa kwako anachohitaji ni vitu vidogo sana ambavyo nyie huwa mnadharau sana
Mwanamke anahitaji uoneshe unamjali, kuwa nae karibu Kwa nyakati zote, mshirikishe mambo yako na jali mambo yake hata Kwa ushauri tu sio lazima pesa..
Hapo![]()
![]()
![]()
kila kitu kitaenda poa kwenu
Youngblood alikata tamaaShem, umefanya la maana kumfariji huyu ndugu yangu youngblood.
Wifi yako hayupo hivyo kabisa. Nashukuru huwa ananielewa sana. Ndo maana nampenda sanaNadhani hii haimhusu my wii
Ndio maana yakeHahaaaaa.
Mie ni mwanamke bana najua nini tunakata etiii
Hongera Sana Baba GodsonNAPENDA KUTOA TAARIFA KWENU MAKAPUKU WOTE KUWA NILIKUWA KIMYA KUTOKANA NA SHEMEJI YENU/WIFI YENU KUWWA MJAMZITO NA ALIHITAJI UKARIBU NA USAIDIZI WANGU KWA UMAKINI NA UKARIBU ZAIDI.
NASHUKURU MUNGU JUMATANO ILIYOPITA MPENZI WANGU AMEJIFUNGUA SALAMA MTOTO WA KIUME MWENYE AFYA TELE. MTOTO AMBAYE NIMEAMUA KUMPA JINA LA GODSON KUTOKANA MITIHANI ILIYONIKABILI KIPINDI CHA UJAUZITO WA MAMA YAKE HASA BAADA YA WAZAZI WAKE KUNISUSIA.
AHSANTENI SANA NA MUDA MFUPI NITAKUWA PAMOJA NANYI KATIKA KUUTAFUTA USAWA WA WANAJF WOTE
Labda maombi yawe ya kufungaEbu tumuweke kwenye maombi ili funiko lake lifunuke... Apate ufunuo
Hutakiwi kumuelewa we mpende tu na kumjali na matokeo yake utayaonaShida ni kwamba ni ngumu sana kuwaelewa wanawake.
Tatizo lao wanavichwa vigumu kama yale mawe ya SingidaWifi umemaliza yoteeee
Wasiposikia shauri yao

Baki njia kuuHalafu jamaa na yeye alikuwa na mchepuko unaitwa Sabrina. Kote kote amekosa hahaha
My wiiNdio maana yake
Ni bure tu braza, maisha yanasonga.![]()
![]()
yataisha tu.
Kwani bei gani.
Hongera sana kwa babyboy mpe pongezi na mama mtoto piaNAPENDA KUTOA TAARIFA KWENU MAKAPUKU WOTE KUWA NILIKUWA KIMYA KUTOKANA NA SHEMEJI YENU/WIFI YENU KUWWA MJAMZITO NA ALIHITAJI UKARIBU NA USAIDIZI WANGU KWA UMAKINI NA UKARIBU ZAIDI.
NASHUKURU MUNGU JUMATANO ILIYOPITA MPENZI WANGU AMEJIFUNGUA SALAMA MTOTO WA KIUME MWENYE AFYA TELE. MTOTO AMBAYE NIMEAMUA KUMPA JINA LA GODSON KUTOKANA MITIHANI ILIYONIKABILI KIPINDI CHA UJAUZITO WA MAMA YAKE HASA BAADA YA WAZAZI WAKE KUNISUSIA.
AHSANTENI SANA NA MUDA MFUPI NITAKUWA PAMOJA NANYI KATIKA KUUTAFUTA USAWA WA WANAJF WOTE
Mmhh apo kwenye kufunga, labda tufunge kutumia vitwanga na nyama Kwa siku saba mfululizoLabda maombi yawe ya kufunga

Aisee hongera sana brother.NAPENDA KUTOA TAARIFA KWENU MAKAPUKU WOTE KUWA NILIKUWA KIMYA KUTOKANA NA SHEMEJI YENU/WIFI YENU KUWWA MJAMZITO NA ALIHITAJI UKARIBU NA USAIDIZI WANGU KWA UMAKINI NA UKARIBU ZAIDI.
NASHUKURU MUNGU JUMATANO ILIYOPITA MPENZI WANGU AMEJIFUNGUA SALAMA MTOTO WA KIUME MWENYE AFYA TELE. MTOTO AMBAYE NIMEAMUA KUMPA JINA LA GODSON KUTOKANA MITIHANI ILIYONIKABILI KIPINDI CHA UJAUZITO WA MAMA YAKE HASA BAADA YA WAZAZI WAKE KUNISUSIA.
AHSANTENI SANA NA MUDA MFUPI NITAKUWA PAMOJA NANYI KATIKA KUUTAFUTA USAWA WA WANAJF WOTE
Njia kuu yangu ni lizziebettie tu hakuna njia nyingine dadaBaki njia kuu
Hapo ndo alichemshaAmekosa kote kote hahahahah
zimefika mkuuHongera sana kwa babyboy mpe pongezi na mama mtoto pia
Utawezaje kuishi na mtu ambaye haeleweki.Hutakiwi kumuelewa we mpende tu na kumjali na matokeo yake utayaona