Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mchunge Kwa kumpatia really Love hapo hatakuwa na muda na wanaume wengine

Ebu nikuibie siri kidogo, unajua mwanamke anayekupenda Kwa dhati na si kutaka pesa kwako anachohitaji ni vitu vidogo sana ambavyo nyie huwa mnadharau sana

Mwanamke anahitaji uoneshe unamjali, kuwa nae karibu Kwa nyakati zote, mshirikishe mambo yako na jali mambo yake hata Kwa ushauri tu sio lazima pesa..

Hapo kila kitu kitaenda poa kwenu
Wifi umemaliza yoteeee
Wasiposikia shauri yao
 
NAPENDA KUTOA TAARIFA KWENU MAKAPUKU WOTE KUWA NILIKUWA KIMYA KUTOKANA NA SHEMEJI YENU/WIFI YENU KUWWA MJAMZITO NA ALIHITAJI UKARIBU NA USAIDIZI WANGU KWA UMAKINI NA UKARIBU ZAIDI.

NASHUKURU MUNGU JUMATANO ILIYOPITA MPENZI WANGU AMEJIFUNGUA SALAMA MTOTO WA KIUME MWENYE AFYA TELE. MTOTO AMBAYE NIMEAMUA KUMPA JINA LA GODSON KUTOKANA MITIHANI ILIYONIKABILI KIPINDI CHA UJAUZITO WA MAMA YAKE HASA BAADA YA WAZAZI WAKE KUNISUSIA.

AHSANTENI SANA NA MUDA MFUPI NITAKUWA PAMOJA NANYI KATIKA KUUTAFUTA USAWA WA WANAJF WOTE
Hongera Sana Baba Godson
 
NAPENDA KUTOA TAARIFA KWENU MAKAPUKU WOTE KUWA NILIKUWA KIMYA KUTOKANA NA SHEMEJI YENU/WIFI YENU KUWWA MJAMZITO NA ALIHITAJI UKARIBU NA USAIDIZI WANGU KWA UMAKINI NA UKARIBU ZAIDI.

NASHUKURU MUNGU JUMATANO ILIYOPITA MPENZI WANGU AMEJIFUNGUA SALAMA MTOTO WA KIUME MWENYE AFYA TELE. MTOTO AMBAYE NIMEAMUA KUMPA JINA LA GODSON KUTOKANA MITIHANI ILIYONIKABILI KIPINDI CHA UJAUZITO WA MAMA YAKE HASA BAADA YA WAZAZI WAKE KUNISUSIA.

AHSANTENI SANA NA MUDA MFUPI NITAKUWA PAMOJA NANYI KATIKA KUUTAFUTA USAWA WA WANAJF WOTE
Hongera sana kwa babyboy mpe pongezi na mama mtoto pia
 
NAPENDA KUTOA TAARIFA KWENU MAKAPUKU WOTE KUWA NILIKUWA KIMYA KUTOKANA NA SHEMEJI YENU/WIFI YENU KUWWA MJAMZITO NA ALIHITAJI UKARIBU NA USAIDIZI WANGU KWA UMAKINI NA UKARIBU ZAIDI.

NASHUKURU MUNGU JUMATANO ILIYOPITA MPENZI WANGU AMEJIFUNGUA SALAMA MTOTO WA KIUME MWENYE AFYA TELE. MTOTO AMBAYE NIMEAMUA KUMPA JINA LA GODSON KUTOKANA MITIHANI ILIYONIKABILI KIPINDI CHA UJAUZITO WA MAMA YAKE HASA BAADA YA WAZAZI WAKE KUNISUSIA.

AHSANTENI SANA NA MUDA MFUPI NITAKUWA PAMOJA NANYI KATIKA KUUTAFUTA USAWA WA WANAJF WOTE
Aisee hongera sana brother.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom