Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
Aitwe Jimena na akiwa wa kiume useme shangazi yake nimpe jinaHongera mkuu
Bila changamoto hakuna mafanikio
Mi nasubiri Mungu akinijalia kid nimpe jina la KIKAPUKU
![]()
![]()
![]()
![]()
.........

Aitwe Jimena na akiwa wa kiume useme shangazi yake nimpe jinaHongera mkuu
Bila changamoto hakuna mafanikio
Mi nasubiri Mungu akinijalia kid nimpe jina la KIKAPUKU
![]()
![]()
![]()
![]()
.........

ahsante sanaAisee hongera sana brother.
Ahsante mkuu wanguHongera mkuu
Bila changamoto hakuna mafanikio
Mi nasubiri Mungu akinijalia kid nimpe jina la KIKAPUKU
![]()
![]()
![]()
.........
Imekula kwakeHapo ndo alichemsha
ahsante shemejiHongera Sana Baba Godson
Niko poa sana wifi.... Hang over ilikuwa inasumbua ila kwa sasa nimeshazimua na niko safi kabisaMy wii
U gud???
Hapo tu ndo nnapokupendea wifi yangu..... Hakika kaka hakukuchagua kwa bahati mbayaMmhh apo kwenye kufunga, labda tufunge kutumia vitwanga na nyama Kwa siku saba mfululizo![]()
![]()
Usikonde sema siwezi kumpa jina la mkongweAitwe Jimena na akiwa wa kiume useme shangazi yake nimpe jina![]()
Safi sana my kakaNjia kuu yangu ni lizziebettie tu hakuna njia nyingine dada
Ukimpenda na kumjali utamuelewaUtawezaje kuishi na mtu ambaye haeleweki.
Poa sana my wiiNiko poa sana wifi.... Hang over ilikuwa inasumbua ila kwa sasa nimeshazimua na niko safi kabisa
Maneno kuntu shemeji. Asante kwa ujumbe.Mchunge Kwa kumpatia really Love hapo hatakuwa na muda na wanaume wengine
Ebu nikuibie siri kidogo, unajua mwanamke anayekupenda Kwa dhati na si kutaka pesa kwako anachohitaji ni vitu vidogo sana ambavyo nyie huwa mnadharau sana
Mwanamke anahitaji uoneshe unamjali, kuwa nae karibu Kwa nyakati zote, mshirikishe mambo yako na jali mambo yake hata Kwa ushauri tu sio lazima pesa..
Hapo![]()
![]()
![]()
kila kitu kitaenda poa kwenu
Njia kuu yangu ni lizziebettie tu hakuna njia nyingine dada
MazimaaaImekula kwake