Jebel inahitahija hapaSo? ni wa kutoa Lock???....@manuu njoo na kiroba jogoo![]()
na ubakaji.....Me huwa naona kama utajiri wa waafrika umegeuka laana/mateso kwetu.Na Watu kuchinjwa pia
Hapana michepuko hairuhusiwi hata kidogoMichepuko inaruhusiwa
![]()
![]()
![]()
.......
Ni kweli kabisa hii laana. Tuna utajiri halafu tunashindwa kuutumia vizuri. Tunaishia kuuana wenyewe kwa wenyewena ubakaji.....Me huwa naona kama utajiri wa waafrika umegeuka laana/mateso kwetu.
Amkimbie bishoo aende kwa washamba wavaa oversize & wanuka vikwapaHapana michepuko hairuhusiwi hata kidogo
Kwan wifi wa jana uck amekukimbia???
Ni kweli kabisa hii laana. Tuna utajiri halafu tunashindwa kuutumia vizuri. Tunaishia kuuana wenyewe kwa wenyewe
Tumeshikiwa akili na mzungu....au ni ubinafsi???Ni kweli kabisa hii laana. Tuna utajiri halafu tunashindwa kuutumia vizuri. Tunaishia kuuana wenyewe kwa wenyewe
We bishoo tuuAmkimbie bishoo aende kwa washamba wavaa oversize & wanuka vikwapa![]()
........
jay moVyote viwili hivyoTumeshikiwa akili na mzungu....au ni ubinafsi???
Hehehehe ndio ni mtangazaji ila wa makapukuKama mtazangaji kabsaaa sorry mtangazaji