Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,266
Uko sahihi kaka, angetumia hekima kidogo tu tungemwona anajali watz, awamu ya 4 ilifanya makosa mengi japo hili lilikuwa na nia njema, hakupaswa kuwaadhibu, bora hata wangeamua badala ya kupewa diploma basi wapewe certificate na waongezewe miaka zaidi ili wapewe diploma au vinginevyo, kwanza kwa kuwaandaa kulikoni walivyowaadhibu kama vile wahamiaji haramu walio majambaziHana washauri wazuri. Wanafunzi siyo watu wa kugombana nao. Yaani ange-score political points za bure kwa kutatua tatizo lao mara moja KAMA KWELI NI WALE WALIOLETWA KWA AJILI YA KUMALIZA TATIZO LA WALIMU WA SAYANSI. Kama ni wengine wameingia chuoni kwa njia za panya ni haki yao kutimuliwa japo siyo kwa ukatili hivi.