Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
Kudadeeeeeki enzi zile za Mama Ndalichako akiwa NECTA wanafunzi walikuwa wanasoma na kupiga div 3 ilikuwa kwa msoto na unaheshimika
Sio akina GPA ambao hawakumbuki hata pie = 22/7
![]()
![]()
![]()
..........
Kudadeeeeeki enzi zile za Mama Ndalichako akiwa NECTA wanafunzi walikuwa wanasoma na kupiga div 3 ilikuwa kwa msoto na unaheshimika
Sio akina GPA ambao hawakumbuki hata pie = 22/7
![]()
![]()
![]()
..........
Mkuu wangu Wa miaka mingi kiwatengu unisamehe kwa kutokujib msg kwa watk.....
Wanafunzi 7000 dodoma wataenda wapi ndani ya masaa 24??Hilo ni kosa la menejiment ya chuo sasa, ambao walihofia vurugu na ishu kama hzo, pia hapo naweza kuunga mkono
Ila kwa wake wenzangu na mimi walo wahi kufukuzwa chuo, chuo huwa hakikupi zaid ya masaa 24 muwe wa wili au laki 1
Rangi mkuu sio langiMorning....kajengeni mie ntapaka langii![]()
Unavyomwambia nimeshamsahau, since when nilikuwa na mazoea nae??
KhaaaaaHiyo inaitwa kutimuliwa kwa mwendokasi now kila kiltu mwendokasi
NO PROMLEM
![]()
![]()
![]()
![]()
........
Hilo linahitaji uchunguz zaid piaWanafunzi 7000 dodoma wataenda wapi ndani ya masaa 24??
KaeditMmmh nimechapia vibayaa
Dunia haina siriHahahaha
Ntalifanyia uchunguzi hilo
Na kweliiDunia haina siri
Kazi ipo basiHilo linahitaji uchunguz zaid pia
Kesho ntakuletea majibuKazi ipo basi
Sasa inabishana na sayansi?? Unataka nini maandiko ya biblia au???Hahaha
Haiezekani hiyo
NasubiriaKesho ntakuletea majibu
HahahahaSasa inabishana na sayansi?? Unataka nini maandiko ya biblia au???
UsijaliNasubiria