Patience123
JF-Expert Member
- Mar 10, 2013
- 5,092
- 8,786
Good afternoon honey... I've updated the greetings lolGood morning beib
Good afternoon honey... I've updated the greetings lolGood morning beib
Nimeskia eti wewe ni pastor wa Kachina...Nimeona mkuuu
Ni wa KiyahudiNimeskia eti wewe ni pastor wa Kachina...
Huhuuuuu
ebu ntafute lite baridiiiiWanasayansi hawa na vi-study vyao ukiwafuatilia hutaishi. Mf. Study nyingine tena yenye sample kubwa na ya muda mrefu (miaka 25) imeonyesha kuwa pombe inasababisha zaidi ya aina 21 za saratani na wanywaji wanakufa mapema.
Relax mkuuWanasayansi hawa na vi-study vyao ukiwafuatilia hutaishi. Mf. Study nyingine tena yenye sample kubwa na ya muda mrefu (miaka 25) imeonyesha kuwa pombe inasababisha zaidi ya aina 21 za saratani na wanywaji wanakufa mapema.
Ukichunguza vizuri utakuta kwamba makampuni makubwa ya pombe ndiyo wafadhili wakubwa wa study hii. Mtindo huu unatumiwa sana na pharmaceuticals industry. Wanatengeneza dawa mpya, wanaajiri wanasayansi wao wanatoa ki-study cha uongo na kweli kama hiki kupigia chapuo dawa yao. Miaka 10 mbele ya safari unbiased studies zinafanyika inagundulika kwamba dawa hiyo hiyo iliyosifiwa ina madhara makubwa na imeshaua watu. Dawa inapigwa marufuku, watu wana-sue, kunakuwa na class action na jamaa wanalipishwa faini ya dola milioni 500 wahanga wanagawana. Ukiulizia unakuta dawa hiyo imeshaingiza dola bilioni 5+ kabla haijapigwa marufuku na jamaa wamelipishwa faini ya dola 500 tu. Kibaya zaidi unakuta dawa hiyo hiyo inaendelea kuuzwa sehemu nyingine duniani na hasa Afrika.
Nilipata mshtuko wa kufa mtu mara ya kwanza nafika Marekani uhamiaji wanachukua dozi zangu kadhaa za metacafine (spelling sina uhakika) nilizochukua kwa tahadhari kama nina Malaria. Kuuliza naambiwa metacafine eti ilishapigwa marufuku Marekani tangu miaka ya 80. Kisa? Ina madhara makubwa kwenye ubongo. Nikawauliza mbona Bongo tunabugia tu na hakuna tatizo? Wakasema hapa siyo Bongo na eti mtumiaji wa metacafine hawezi kuwa OK mentally hasa huko mbele ya safari.
It's all about the mighty dollar kwenye hizi studies. Please usiamini kila kitu eti kwa vile umeona ni scientific research. Watu wanapiga hela. Hata Marlboro wana study zao zinazoonyesha kuwa sigara siyo mbaya kihivyo!
Wanasayansi hao hao ndio wanaotuambia kuwa mpaka sasa cancer haijulikani inaletwa na nini ukiondoa kurithi ndomana huku mtu akipatwa na kansa hata kama anavuta sigara dokta hathubutu kumwambia kuwa ni sababu ya sigara ila tu anaweza mwambia kuwa katika wagonjwa 10 nnaotibia cancer 2 wanavuta sigara au anakupa kitabu usome mwenyeweWanasayansi hawa na vi-study vyao ukiwafuatilia hutaishi. Mf. Study nyingine tena yenye sample kubwa na ya muda mrefu (miaka 25) imeonyesha kuwa pombe inasababisha zaidi ya aina 21 za saratani na wanywaji wanakufa mapema.
Ukichunguza vizuri utakuta kwamba makampuni makubwa ya pombe ndiyo wafadhili wakubwa wa study hii. Mtindo huu unatumiwa sana na pharmaceuticals industry. Wanatengeneza dawa mpya, wanaajiri wanasayansi wao wanatoa ki-study cha uongo na kweli kama hiki kupigia chapuo dawa yao. Miaka 10 mbele ya safari unbiased studies zinafanyika inagundulika kwamba dawa hiyo hiyo iliyosifiwa ina madhara makubwa na imeshaua watu. Dawa inapigwa marufuku, watu wana-sue, kunakuwa na class action na jamaa wanalipishwa faini ya dola milioni 500 wahanga wanagawana. Ukiulizia unakuta dawa hiyo imeshaingiza dola bilioni 5+ kabla haijapigwa marufuku na jamaa wamelipishwa faini ya dola 500 tu. Kibaya zaidi unakuta dawa hiyo hiyo inaendelea kuuzwa sehemu nyingine duniani na hasa Afrika.
Nilipata mshtuko wa kufa mtu mara ya kwanza nafika Marekani uhamiaji wanachukua dozi zangu kadhaa za metacafine (spelling sina uhakika) nilizochukua kwa tahadhari kama nina Malaria. Kuuliza naambiwa metacafine eti ilishapigwa marufuku Marekani tangu miaka ya 80. Kisa? Ina madhara makubwa kwenye ubongo. Nikawauliza mbona Bongo tunabugia tu na hakuna tatizo? Wakasema hapa siyo Bongo na eti mtumiaji wa metacafine hawezi kuwa OK mentally hasa huko mbele ya safari.
It's all about the mighty dollar kwenye hizi studies. Please usiamini kila kitu eti kwa vile umeona ni scientific research. Watu wanapiga hela. Hata Marlboro wana study zao zinazoonyesha kuwa sigara siyo mbaya kihivyo!
Kuhusu dawa sio huko tu, hata Ulaya pia dawa hawataki, yani mambo ya mtu kujaza antibiotic tulishayaacha long timeWanasayansi hawa na vi-study vyao ukiwafuatilia hutaishi. Mf. Study nyingine tena yenye sample kubwa na ya muda mrefu (miaka 25) imeonyesha kuwa pombe inasababisha zaidi ya aina 21 za saratani na wanywaji wanakufa mapema.
Ukichunguza vizuri utakuta kwamba makampuni makubwa ya pombe ndiyo wafadhili wakubwa wa study hii. Mtindo huu unatumiwa sana na pharmaceuticals industry. Wanatengeneza dawa mpya, wanaajiri wanasayansi wao wanatoa ki-study cha uongo na kweli kama hiki kupigia chapuo dawa yao. Miaka 10 mbele ya safari unbiased studies zinafanyika inagundulika kwamba dawa hiyo hiyo iliyosifiwa ina madhara makubwa na imeshaua watu. Dawa inapigwa marufuku, watu wana-sue, kunakuwa na class action na jamaa wanalipishwa faini ya dola milioni 500 wahanga wanagawana. Ukiulizia unakuta dawa hiyo imeshaingiza dola bilioni 5+ kabla haijapigwa marufuku na jamaa wamelipishwa faini ya dola 500 tu. Kibaya zaidi unakuta dawa hiyo hiyo inaendelea kuuzwa sehemu nyingine duniani na hasa Afrika.
Nilipata mshtuko wa kufa mtu mara ya kwanza nafika Marekani uhamiaji wanachukua dozi zangu kadhaa za metacafine (spelling sina uhakika) nilizochukua kwa tahadhari kama nina Malaria. Kuuliza naambiwa metacafine eti ilishapigwa marufuku Marekani tangu miaka ya 80. Kisa? Ina madhara makubwa kwenye ubongo. Nikawauliza mbona Bongo tunabugia tu na hakuna tatizo? Wakasema hapa siyo Bongo na eti mtumiaji wa metacafine hawezi kuwa OK mentally hasa huko mbele ya safari.
It's all about the mighty dollar kwenye hizi studies. Please usiamini kila kitu eti kwa vile umeona ni scientific research. Watu wanapiga hela. Hata Marlboro wana study zao zinazoonyesha kuwa sigara siyo mbaya kihivyo!
swala la kwenda kumuona doctor kisha dawa sipewiHadithi tu Wii hakuna uthibitisho wowoteRelax mkuu
Tunakunywa kistaarabu
Kumbuka nowdayZ almost kila kitu kinsababisha cancer
So ni vile unavyoamua kuishi mwenyewe
Ukiwa mlevi cancer ya koo itakuhusu
Ni mtazamo tuuuu
Hahahaha hiyo ngoma mbagala rangi 3
Same conclusion like mine. No need to relax sir. Relaxation is for pussies!Relax mkuu
Tunakunywa kistaarabu
Kumbuka nowdayZ almost kila kitu kinsababisha cancer
Sie wazima my wiiWazima wapendwa?
Mie Niko poa kabisa Wii. Miss you tuSie wazima my wii
Uko poa wewe???
Toto Laini hawezi hizo ngumu.