Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hii nchi ni ya maajabu yaani mtu hana sifa za kuingia chuo kikuu anaruhusiwa
Then baadae wanawafukuza kama mbwa pasipo utaratibu !!!
Hii inapatikana tanzania tu
This is TZzzz banaa, nchi isiyoisha matukio na inayoishi Kwa matukio

Now story za sukari tunaweka pembeni tunahamia kwa wanachuo kikuu wa form four....

Wonders shall never ends in Tanzania

Mungu Ibariki Africa
Mungu bariki Tanzania
 
7bf905b6afcdb40e34211cb6afa3f36c.jpg
napita..
 
This is TZzzz banaa, nchi isiyoisha matukio na inayoishi Kwa matukio

Now story za sukari tunaweka pembeni tunahamia kwa wanachuo kikuu wa form four....

Wonders shall never ends in Tanzania

Mungu Ibariki Africa
Mungu bariki Tanzania
Kauli ya mkuu wa kaya kuwa wanaopita barabara za mwendo kasi wafunguliwe matairi yauzwe hili ndio kubwa kwa sasa
 
Hii nchi ni ya maajabu yaani mtu hana sifa za kuingia chuo kikuu anaruhusiwa
Then baadae wanawafukuza kama mbwa pasipo utaratibu !!!
Hii inapatikana tanzania tu
Sasa nimetokea kumwogopa rais zaidi ya ukoma, hana chembe ya huruma utafikiri hao watoto walijiamulia kuingia chuoni wenyewe.
Hajaguswa hata na matukio ya ubakaji kwa wasichana!!!
Namba inasomeka sasa
 
Duh mishe zimekaba kichizi waungwana morning to night
Now naelekea viwania kupiga Kitwanga hadi usiku mzito.....si mnajua life is too short

.........
kwa kweli kapige vitwanga ila usizidishe sana

Unavyoingia angalia vizur wahudumu ili baadae ukianza kuwaona wazuri na wanavutia ujue kitwanga imechanganya

Taratibuuu anza kuondoka eneo hilo please
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom