Makapuku Forum

Nasikia kichefuchefu sikujua km walimu vichwa maji kiasi hiki ....wenzao tumekaa miaka kibao bila ajira wao ht mwaka bado full makelele
Wakalime matikiti wasitusumbue

......
Tatizo wanaona wao ndo wa kipaumbele sana kuliko wengine.

Mbona kuna shughuli nyingi za kufanya tu. Wawe wapole tu mwaka. Kama zipo wataambiwa
 
Hahaa sisi mbona tumeajiriwa tayari.
 
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…