Makapuku Forum

Nasikia kichefuchefu sikujua km walimu vichwa maji kiasi hiki ....wenzao tumekaa miaka kibao bila ajira wao ht mwaka bado full makelele
Wakalime matikiti wasitusumbue
[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35]
......
Tatizo wanaona wao ndo wa kipaumbele sana kuliko wengine.

Mbona kuna shughuli nyingi za kufanya tu. Wawe wapole tu mwaka. Kama zipo wataambiwa
 
Hahaa sisi mbona tumeajiriwa tayari.
 
[emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…