Werrason
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 13,422
- 40,399
Inabidi niombe usajiri mkuu, ila inabidi vijana wa CHAPUTAwapewe semina elekezi kwanza,unajua si poa kabisa kutelezesha watu bafuni,kama vipi vijana watengenezewe socks* maalumu kwa kazi hiyo......
Tanzania tukipata washauri angalau kila wilaya mmoja kama wewe, hakika tutaendelea kwa kasi zaidiWapi wewee, wakati umeachwa..
Njoo kwenye chama chetu tu cha CHAPUTA..
Ili wapangaji wateleze bafuni
Duuh, niombe radhi!Anamwita bibi
Njema rafiki, nimetingwa kweli kweliHabari yako brother.
Tumekumiss sana.
Tupo tupoNina wamiss sana humu
Hahaa, wacha nipagawe...BABE.Nikimuonyesha atapagawa.
Na bei ya sabuni itapanda maradufu.Tanzania tukipata washauri angalau kila wilaya mmoja kama wewe, hakika tutaendelea kwa kasi zaidi

Poa mkuu.Njema rafiki, nimetingwa kweli kweli
kweli lakin
Unazo ngapi unipe hata tano!Duuh, niombe radhi!
baby ni mtotoNdio maana hajui babe!
kweli lakin
Hayababy ni mtoto