Makapuku Forum

Makapuku Forum

Lakini mkuu huwezi kusolve matatizo kwa kuyakimbia.
Lazima tubadili fikra zetu Kwanza.
Ni sawa na mateja tu eti MAISHA MAGUMU ndo ule bange,ngadu & mipombe asubuhi hadi usiku
Biblia HAIKATAZI KILEVI BALI INAKATAZA ULEVI.....kunywa kwa step usahau shida zako sio kushinda kilabuni km ng'ombe zizini
Hapana mkuu kule ni kujiendekeza,
Mfano kijiji nilichoenda jana, vijana wengi wanaamini ukinywa pombe ndio unapata nguvu ya kufanya kazi, matokeo yake wakipata pesa kidogo zinaishia Kwa pombe
 
Lakini mkuu huwezi kusolve matatizo kwa kuyakimbia.
Lazima tubadili fikra zetu Kwanza.
Elimu inatakiwa Kwa wananchi wa vijijini

Kuna kijiji kimoja mwaka jana tulitoa elimu ya madhara ya matumizi mabaya ya pombe, sasa kunamama alikuwa mpishi wa pombe aliamua kuacha ile biashara na tulimanage kumpa mkopo.

Mwaka huu tumeenda kufanya followup yule Mama anamaendeleo ya Hali ya juu na wananchi wengi wameacha kunywa pombe kupita kiasi coz ya yule mama

Kile kijiji sasa kinauhai na maendeleo yanaoneka.

ME nadhani hii ni fursa kwetu vijana kutafuta donors na kwenda kutackle haya matatizo
 
Elimu inatakiwa Kwa wananchi wa vijijini

Kuna kijiji kimoja mwaka jana tulitoa elimu ya madhara ya matumizi mabaya ya pombe, sasa kunamama alikuwa mpishi wa pombe aliamua kuacha ile biashara na tulimanage kumpa mkopo.

Mwaka huu tumeenda kufanya followup yule Mama anamaendeleo ya Hali ya juu na wananchi wengi wameacha kunywa pombe kupita kiasi coz ya yule mama

Kile kijiji sasa kinauhai na maendeleo yanaoneka.

ME nadhani hii ni fursa kwetu vijana kutafuta donors na kwenda kutackle haya matatizo
Kweli huu mchongo ....nikiwa FREE nitakufuata PM
.........
 
Elimu inatakiwa Kwa wananchi wa vijijini

Kuna kijiji kimoja mwaka jana tulitoa elimu ya madhara ya matumizi mabaya ya pombe, sasa kunamama alikuwa mpishi wa pombe aliamua kuacha ile biashara na tulimanage kumpa mkopo.

Mwaka huu tumeenda kufanya followup yule Mama anamaendeleo ya Hali ya juu na wananchi wengi wameacha kunywa pombe kupita kiasi coz ya yule mama

Kile kijiji sasa kinauhai na maendeleo yanaoneka.

ME nadhani hii ni fursa kwetu vijana kutafuta donors na kwenda kutackle haya matatizo
Yap ni kweli kabisa mkuu.
Inabidi na sisi vijana pia tuwajibike kila mtu kwa nafasi yake na jinsi atakavyoweza ili tuweze kuleta positive changes kwenye jamii zetu.
 
Hapana mkuu kule ni kujiendekeza,
Mfano kijiji nilichoenda jana, vijana wengi wanaamini ukinywa pombe ndio unapata nguvu ya kufanya kazi, matokeo yake wakipata pesa kidogo zinaishia Kwa pombe

Walikuwa wanakunywa pombe za aina gani kama si viroba, banana na pombe za kienyeji?

Tatizo linalochangia ulevi holela kuongezeka ni ukosefu wa ajira na ugumu wa maisha,. Ipo wazi walevi tunaowaongelea hapa ni wale wasiojitambua kutokana na elimu duni, ndoto zilizokufa & maisha yasiyo na uhakika wa kuiona kesho..

Ukahaba + ulevi + kamari + wizi = zao la ukosefu wa ajira..
 
Back
Top Bottom