Makapuku Forum

Makapuku Forum

cb6cb15c892c17a234e710299ace3cd6.jpg
 
Huko vijijini ni shida aisee
Wananchi wanakunywa pombe kuanzia asubuh hadi jioni ile sheria ya pombe ni kuanzia saa 9 alasiri kule haipo

NGOs Kwa kushirikiana na serikali inabidi watoe seminars juu ya kuzingatia by laws za vijiji bila kusahau sheria mama.

Hali ni mbaya sana Kwa baadhi ya vijiji
Nishafika vijiji vingi kila mtu anafanya upuuzi wa KITWANGA ....children to adults
Vijinini wanatisha

.......
 
Huko vijijini ni shida aisee
Wananchi wanakunywa pombe kuanzia asubuh hadi jioni ile sheria ya pombe ni kuanzia saa 9 alasiri kule haipo

NGOs Kwa kushirikiana na serikali inabidi watoe seminars juu ya kuzingatia by laws za vijiji bila kusahau sheria mama.

Hali ni mbaya sana Kwa baadhi ya vijiji
wanafanya hivyo kutokana na ugumu na changamoto wanazokumbana nazo kwenye maisha..
 
Back
Top Bottom