...mdau, msimu wa korosho tayari tangu Oktoba na sasa tunawasubiri watu wa AMCOS watupe mgao wetu wa pili, si unajua mambo ya stakabadhi ghalani.
Nimekuja mdau, nimeshamueleza patner shikizi wako kwamba nyie njooni tu, chumba nilichoweka magunia ya korosho, nimekisafisha, mtafikia humo, njoo na joto lako maana huku baridi, tumeng'oa viyoyozi maji tumeweka madirisha bila mapaziaNaendele powaa poker mzima weye??Aje atwambie tukamtembelee turudi na magunia ya korosho😅 Obe hebu njoo😁
Mbona hujamkumbuka Seran hata na kisado cha korosho kaka....mdau, msimu wa korosho tayari tangu Oktoba na sasa tunawasubiri watu wa AMCOS watupe mgao wetu wa pili, si unajua mambo ya stakabadhi ghalani.
Sasa nikisema nimeuza korosha, nimeng'oa mabati na kuezeka kwa nyasi, huwa sitanii.
Aww nimefurahi sana, najikuta mwenye bahati! Hakika jioni yangu imepata tabasamu🥰 sijakenua tangu kukuche☺️
Tena!! Tutakuja na blankets usijali obeNimekuja mdau, nimeshamueleza patner shikizi wako kwamba nyie njooni tu, chumba nilichoweka magunia ya korosho, nimekisafisha, mtafikia humo, njoo na joto lako maana huku baridi, tumeng'oa viyoyozi maji tumeweka madirisha bila mapazia
...maisha yafaa nini bila kuona tabasamu lako!? Hapo umekenua kama unatangaza biashara ya colgateAww nimefurahi sana, najikuta mwenye bahati! Hakika jioni yangu imepata tabasamu🥰 sijakenua tangu kukuche☺️
...konda asiwe mang'aa tu akapotea nazo kama mwaka ule namtumia Shunie korosho afu konda wa basi la Wifi Naye (wanapaki Sudan) akayeya nazo, nusu debe. Nilisikitika sana.Na uzuri amekwambia we mpe details hata za konda akutumie, hakika Obe ni mtu wa maana kabisa.
Si ndio😁...maisha yafaa nini bila kuona tabasamu lako!? Hapo umekenua kama unatangaza biashara ya colgate