....ni kweli kabisa, nitakulinda na hutopata madhara yoyote, iwe ninakulindia chumbani, sebuleni au nyumba ya wageni. TutalindanaObe ni mzee kwahiyo hakuna madhara yoyote ntayapata! Hana ujanja ujanja kwaio ntakuwa salama☺️
Misungwi ndani ndani huko kama unaenda Misasi na siku hizi Masasi Mtwara ndo makaoKitovuni kwenu ni geita au sengerema😃
...anaenda mbali tena kwa kasi sana.Sawa, tulia hapo hapo.
Ulinzi shirikishi, tutashirikishana
Huo ulinzi shirikishi sasa😂😂😂....ni kweli kabisa, nitakulinda na hutopata madhara yoyote, iwe ninakulindia chumbani, sebuleni au nyumba ya wageni. Tutalindana
Misungwi ndani ndani huko kama unaenda Misasi na siku hizi Masasi Mtwara ndo makao
Me jamani nahisi ni uzee hivi mjue nimeshasahau kama kuna kitu kinaitwa jf
...ngoja niende masjid, nikaombe kutumia spika za adhana kumuita aje hapa, ili upone mtaasisi
Weeh Poker sema kweli mbona sijawahi kukusikia
Bora binamu umenisaidia.....atajuaje kama hujamwambia, uchawi upo kwenye kumuelza, sisi hatutokusaidia
...sasa wakati anapitia hiki kipindi kigumu ndo wewe sasa ushike nafasi hadi pale atakapofanikiwa anachohitaji. Nchi huru hii
Ndio nipo hapa kumsapoti mpaka sukari ipandenchi ngumu hii mzeee..
Hapana kipenzi changu we endelea naye tu moja kwa mojaMimi nipo mpaka shunie atakaporudi
Pole sana usisahau kunywa brufen
Sasa namm leo bamtu karudi sitaweza kuendelea mpaka hapo, goma lako hilo mama😂😂Hapana kipenzi changu we endelea naye tu moja kwa moja
Ushakua uzi wa selfika huu