Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,282
- 35,645
Ushahamisha magoli tayari mdau, ilikuwa ndoo ya sato, sasa hivi unasema mambo za samaki wa foil!Q Samaki wametoka kwenye ndoo wameingia kwenye foil.!!!!Mi niko hapa ryan bay hotel, nikufuate hapo nyakato maeneo gani uje uimalizie jpili yako na wine na sato wa foil.
makaveli10 ukiwa unatoka Igunga, hebu nipitie hapa Ngokolo twende tukavue samaki wetu wenyewe hapo Rocky city