Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mi niko hapa ryan bay hotel, nikufuate hapo nyakato maeneo gani uje uimalizie jpili yako na wine na sato wa foil.
Ushahamisha magoli tayari mdau, ilikuwa ndoo ya sato, sasa hivi unasema mambo za samaki wa foil!Q Samaki wametoka kwenye ndoo wameingia kwenye foil.!!!!

makaveli10 ukiwa unatoka Igunga, hebu nipitie hapa Ngokolo twende tukavue samaki wetu wenyewe hapo Rocky city
 
Ushahamisha magoli tayari mdau, ilikuwa ndoo ya sato, sasa hivi unasema mambo za samaki wa foil!Q Samaki wametoka kwenye ndoo wameingia kwenye foil.!!!!

makaveli10 ukiwa unatoka Igunga, hebu nipitie hapa Ngokolo twende tukavue samaki wetu wenyewe hapo Rocky city
Mwenyew kanipa heart attack huyu kijana kashanirusha roho! Hebu fikiria ndoo ya lita 20 kwa ghafla hivi😅
 
Ushahamisha magoli tayari mdau, ilikuwa ndoo ya sato, sasa hivi unasema mambo za samaki wa foil!Q Samaki wametoka kwenye ndoo wameingia kwenye foil.!!!!

makaveli10 ukiwa unatoka Igunga, hebu nipitie hapa Ngokolo twende tukavue samaki wetu wenyewe hapo Rocky city
Nitapitia hapo mkuu..
Nina album ya soukuss stars.. tule samaki tunakumbukia enzi
 
Nitapitia hapo mkuu..
Nina album ya soukuss stars.. tule samaki tunakumbukia enzi
.....ha ahahhaha, hapo tunakuwa tuna repeat ile ngoma Denise Kusala (Yondo Sister) na Ballou Cankta wanajibizana baada ya kuwa Shimita kachombeza kwenye gitaa la Ngouma Lokito na Dali Kimoko. Tunajikuta tumeingia mjini utasema tuliamka nao hapo.
Swalama lakini ndugu yangu?
 
Mwenyew kanipa heart attack huyu kijana kashanirusha roho! Hebu fikiria ndoo ya lita 20 kwa ghafla hivi😅
Poker chenga sana, angesema tu anakukaribisha samaki wa foil ila sio kusema anakupatia ndoo, majirani tukozonge utugaie.
Atoto nakusalimia na korosho utazipata nikirudi.
Makiwendo nakumiss kuliko maelezo, silali nakuota wewe
 
Poker chenga sana, angesema tu anakukaribisha samaki wa foil ila sio kusema anakupatia ndoo, majirani tukozonge utugaie.
Atoto nakusalimia na korosho utazipata nikirudi.
Makiwendo nakumiss kuliko maelezo, silali nakuota wewe
Muda huo nishashiba ugali wa mtama ananiambia samaki wa foil tena sato! kama nilie😂😂 angeeleweka tukapanga zetu kafoleni kila mmoja na kandoo kake haoo😂😂💔💔
 
.....ha ahahhaha, hapo tunakuwa tuna repeat ile ngoma Denise Kusala (Yondo Sister) na Ballou Cankta wanajibizana baada ya kuwa Shimita kachombeza kwenye gitaa la Ngouma Lokito na Dali Kimoko. Tunajikuta tumeingia mjini utasema tuliamka nao hapo.
Swalama lakini ndugu yangu?
Usalama upo ndugu yangu, namshukuru mungu.
Mada yetu itakuwa hapa DIBLO DIBALA hapa DALI KIMOKO, unaenda na nani?
 
Usalama upo ndugu yangu, namshukuru mungu.
Mada yetu itakuwa hapa DIBLO DIBALA hapa DALI KIMOKO, unaenda na nani?
Ha hahahhaa, mtego huu kaka, Diblo alikuwa kama Gaucho, hujui anashambulia au anaunganisha timu, kama kiungo. Gitaa lake analicharaza kwenye sebene za kasi, zile ambazo mikatiko ya kutosha, utamuelewa zaid kwennye nyimbo za Aurlus Mabele kwenye band ya Loketo, au kwenye Empire Bakuba ya mkali Pepe Kalle akiitwa machine gun.

Dally Komoko yeye gitaa lake la solo, utampenda katika miziki ya taratibu, ile ambayo ushapiga Safari zako tatu za moto, umeagiza mishkaki na una mrembo anahakikisha wahudumu hawakuzidishii bill. Goma la Tobina utalielewa sana. Kwa hiyo hapo mimi ninaanguka na Dally Kimoko na ninasimama na Diblo Dibala.
Mdau lakini zama mpya usimsahau Alain Makaba ndani ya Wenge BCBG.

Ngoja nikomae na likizo ndugu yangu
 
Ha hahahhaa, mtego huu kaka, Diblo alikuwa kama Gaucho, hujui anashambulia au anaunganisha timu, kama kiungo. Gitaa lake analicharaza kwenye sebene za kasi, zile ambazo mikatiko ya kutosha, utamuelewa zaid kwennye nyimbo za Aurlus Mabele kwenye band ya Loketo, au kwenye Empire Bakuba ya mkali Pepe Kalle akiitwa machine gun.

Dally Komoko yeye gitaa lake la solo, utampenda katika miziki ya taratibu, ile ambayo ushapiga Safari zako tatu za moto, umeagiza mishkaki na una mrembo anahakikisha wahudumu hawakuzidishii bill. Goma la Tobina utalielewa sana. Kwa hiyo hapo mimi ninaanguka na Dally Kimoko na ninasimama na Diblo Dibala.
Mdau lakini zama mpya usimsahau Alain Makaba ndani ya Wenge BCBG.

Ngoja nikomae na likizo ndugu yangu
Huyu alinichanganya ubongo wangu, anapiga gitaa, anaimba, sijui bado ana rap.. nae ni mtu hatari..
Naangalia extra musica walivyokiwasha kwenye kora awards mwaka 2000
 
Ha hahahhaa, mtego huu kaka, Diblo alikuwa kama Gaucho, hujui anashambulia au anaunganisha timu, kama kiungo. Gitaa lake analicharaza kwenye sebene za kasi, zile ambazo mikatiko ya kutosha, utamuelewa zaid kwennye nyimbo za Aurlus Mabele kwenye band ya Loketo, au kwenye Empire Bakuba ya mkali Pepe Kalle akiitwa machine gun.

Dally Komoko yeye gitaa lake la solo, utampenda katika miziki ya taratibu, ile ambayo ushapiga Safari zako tatu za moto, umeagiza mishkaki na una mrembo anahakikisha wahudumu hawakuzidishii bill. Goma la Tobina utalielewa sana. Kwa hiyo hapo mimi ninaanguka na Dally Kimoko na ninasimama na Diblo Dibala.
Mdau lakini zama mpya usimsahau Alain Makaba ndani ya Wenge BCBG.

Ngoja nikomae na likizo ndugu yangu
😅 dally kimoko hana mpinzani Obe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom