Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kwamba zamani hukuwa busy au niuvivu tu, tunakuhitaji sana kama mimi nsipoona comment yako huwa napata msongo wa mawazo.
Daaah [emoji1787][emoji1787][emoji1787] ebu nielewe basi Poker jamani mbona siku nyingine huwa nakuwa peke yangu najipostia na kusoma mwenyewe wote mnakimbia jukwaa

Ebu chat na mtoto mzuri Seran
 
Daaah [emoji1787][emoji1787][emoji1787] ebu nielewe basi Poker jamani mbona siku nyingine huwa nakuwa peke yangu najipostia na kusoma mwenyewe wote mnakimbia jukwaa

Ebu chat na mtoto mzuri Seran
Shunie sio kweli unajua fika niko nawew bega kwa bega, tena saivi nataka nikutungie riwaya special kwaajili yako. Hata moudgulf Obe Atoto wote ni mashahidi namna ulivonikaa kichwani.
 
Mi niko hapa ryan bay hotel, nikufuate hapo nyakato maeneo gani uje uimalizie jpili yako na wine na sato wa foil.
Ushahamisha magoli tayari mdau, ilikuwa ndoo ya sato, sasa hivi unasema mambo za samaki wa foil!Q Samaki wametoka kwenye ndoo wameingia kwenye foil.!!!!

makaveli10 ukiwa unatoka Igunga, hebu nipitie hapa Ngokolo twende tukavue samaki wetu wenyewe hapo Rocky city
 
Back
Top Bottom