makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,930
- 104,252
Kwani yangu ungeifanya kuwa tukio maalum ungepungukiwa nini shunie akee, utavuka ngozi?Sema tarehe 25 nina safari ya huko nakuja mara moja tu tena jioni kuna ndoa nikija huko kwenu nina matukio maalum
Ukija nishtue uondoke na mzigo wako

