makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,993
- 104,490
Mimi ni mtu kazi, lazima nifanye kazi, ili kuwa na atoto isiwe kazi 😄We mwamini tu auntie ndio chaguo lako![]()
Mimi ni mtu kazi, lazima nifanye kazi, ili kuwa na atoto isiwe kazi 😄We mwamini tu auntie ndio chaguo lako![]()
Mara hii ushafika Bukoba🙆♂️🙆♂️🙆♂️Mapenzi ni kuheshimiana,
Nami mpenz, ninakuheshimu.
Tulizana mpnz, tupendane, tulizana mpenz tupendane..
Halafu kuna kale kabiti kanapita..
Hapo nimekuja na zawadi za kutoka BUKOBA..
ATOTO nakupenda walai mpaka naumwa.. kila nikimuona mtoto, najikuta namuita ATOTO, ili tu niwe nimekutaja hadharani dunia isikie jina la mwanamke nimpendae zaid.. toka nilipofunguliwa ulimwengu wa MOHABATEIN
Mmmmmh! Naomba milioni moja tu.Mimi ni mtu kazi, lazima nifanye kazi, ili kuwa na atoto isiwe kazi 😄
Umepata bado kupokea tu.Mmmmmh! Naomba milioni moja tu.
Umekutana na mtu wa kaziMara hii ushafika Bukoba🙆♂️🙆♂️🙆♂️
Kazi ninayo mwaka huu.
Namba yangu ni ile ile.Umepata bado kupokea tu.
Aaah hapana kwakweli🙆♂️🙆♂️Umekutana na mtu wa kazi
Nakuwwkea crdb hapo, chap 😄🤣Namba yangu ni ile ile.
...niko wakala, fanya unitumie halafu nimtumie, angalau ndugu yako nipate kamisheni. Au nitumie nusu upate sababu ya kusema wakala hajatuma yoteNakuwwkea crdb hapo, chap 😄🤣
Crdb hapanaaaa, watapita na kamilioni kangu nikufwe mie.Nakuwwkea crdb hapo, chap 😄🤣
Shemegi ndio maana dada kakukimbia😭😭😭...niko wakala, fanya unitumie halafu nimtumie, angalau ndugu yako nipate kamisheni. Au nitumie nusu upate sababu ya kusema wakala hajatuma yote
Hahahaha,njoo uchukue dawa,Sawa, nipe dawa.
Hahahaha,sawa sawaUmepata bado kupokea tu.
HahahahaShemegi ndio maana dada kakukimbia😭😭😭
Tuma kwa Zuberi🤣Hahahaha,njoo uchukue dawa,
HahahaaCrdb hapanaaaa, watapita na kamilioni kangu nikufwe mie.
Nipe namba yakeTuma kwa Zuberi🤣
Bus hilo bwana🤣🤣Nipe namba yake
Hahahaha kama ni bus niambie ofc zao zilipo,😂😅Bus hilo bwana🤣🤣
...dada yako anazo sababu nyingine kabisa za kunikimbia, hii sio mojawapo. Nikikuambia sababu aliyonayo utaumia sana, unaweza hadi kuamua umwambie anirudie haraka kabla sijafanya kama nilivyofanya mwaka uleShemegi ndio maana dada kakukimbia😭😭😭