Hahahaha, tupo wengi ila ndio vzr,mahusiano utapata StressRafiki nimegundua nipo kwenye mahusiano peke Yanga πββοΈπββοΈπββοΈ
Ni huzuni sana.
Ngoja nimuite min -me tukalewe
Bora tulewe tu rafiki, mahusiano yana wenyeweπ€£π€£π€£Hahahaha, tupo wengi ila ndio vzr,mahusiano utapata Stress
NB: kwenye kulewa tuko wote,mnipitie
ππππ shindii tulewe tu.Shindii unadanganyaπ€£
Hakunaaa ashindweπ€£ππππ shindii tulewe tu.
Unataka nini mama la mama? Mwenye hatimiliki ya moyo wangu?Heeeeeh! Kilaji tena!!
Rafiki itakua umechelewa kujua hili ,hapa nilipo tayari nina 2 za motoBora tulewe tu rafiki, mahusiano yana wenyeweπ€£π€£π€£
Hahahahaha,anatupanga ?Shindii unadanganyaπ€£
Umepata shunie akee, bado kupokea. Weekend hii nisage popote unaponiona nizoe zoe upate kuumwagilia moyoHapana maka akee box zima ndio linanitosha
MnoπHahahahaha,anatupanga ?
Nani sasa ashindwe?Hakunaaa ashindweπ€£
Unatupanga shindiiπNani sasa ashindwe?
π€£π€£π€£π€£Unataka nini mama la mama? Mwenye hatimiliki ya moyo wangu?
Rafiki nilijifanya nimeyapatia, kumbe yamenipatiaπππRafiki itakua umechelewa kujua hili ,hapa nilipo tayari nina 2 za moto
Jamani jamaniπββοΈHahahahaha,anatupanga ?
Shindii kumbe hauna hurumaπββοΈπββοΈMnoπ
Muda wote natamani, niwe nawe kila saaπ€£π€£π€£π€£
Hapanaaa, usinipange.
π π shindii nnayo huruma , ila now nakunywa kidogo mno kwa afya tuπShindii kumbe hauna hurumaπββοΈπββοΈ
Sidanganyiki.Muda wote natamani, niwe nawe kila saa
Nikueleze jinsi gani, kwenye giza we ni taa
Nilikuwa naisikiliza ngoma ya diamond my heart.. ni kama vile alikuwa kichwani mwangu, au aliona siku ya kwana kuonana kwetu, au angekuwa jirani ningesema huwa anatupiga chabo ππ€£π