Hahahaha, tupo wengi ila ndio vzr,mahusiano utapata StressRafiki nimegundua nipo kwenye mahusiano peke Yanga ๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ
Ni huzuni sana.
Ngoja nimuite min -me tukalewe
Bora tulewe tu rafiki, mahusiano yana wenyewe๐คฃ๐คฃ๐คฃHahahaha, tupo wengi ila ndio vzr,mahusiano utapata Stress
NB: kwenye kulewa tuko wote,mnipitie
๐ญ๐ญ๐ญ๐ญ shindii tulewe tu.Shindii unadanganya๐คฃ
Hakunaaa ashindwe๐คฃ๐ญ๐ญ๐ญ๐ญ shindii tulewe tu.
Unataka nini mama la mama? Mwenye hatimiliki ya moyo wangu?Heeeeeh! Kilaji tena!!
Rafiki itakua umechelewa kujua hili ,hapa nilipo tayari nina 2 za motoBora tulewe tu rafiki, mahusiano yana wenyewe๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Hahahahaha,anatupanga ?Shindii unadanganya๐คฃ
Umepata shunie akee, bado kupokea. Weekend hii nisage popote unaponiona nizoe zoe upate kuumwagilia moyoHapana maka akee box zima ndio linanitosha
Mno๐Hahahahaha,anatupanga ?
Nani sasa ashindwe?Hakunaaa ashindwe๐คฃ
Unatupanga shindii๐Nani sasa ashindwe?
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃUnataka nini mama la mama? Mwenye hatimiliki ya moyo wangu?
Rafiki nilijifanya nimeyapatia, kumbe yamenipatia๐ญ๐ญ๐ญRafiki itakua umechelewa kujua hili ,hapa nilipo tayari nina 2 za moto
Jamani jamani๐โโ๏ธHahahahaha,anatupanga ?
Shindii kumbe hauna huruma๐โโ๏ธ๐โโ๏ธMno๐
Muda wote natamani, niwe nawe kila saa๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Hapanaaa, usinipange.
๐ ๐ shindii nnayo huruma , ila now nakunywa kidogo mno kwa afya tu๐Shindii kumbe hauna huruma๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ
Sidanganyiki.Muda wote natamani, niwe nawe kila saa
Nikueleze jinsi gani, kwenye giza we ni taa
Nilikuwa naisikiliza ngoma ya diamond my heart.. ni kama vile alikuwa kichwani mwangu, au aliona siku ya kwana kuonana kwetu, au angekuwa jirani ningesema huwa anatupiga chabo ๐๐คฃ๐