Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,282
- 35,645
...sijui kwanini huwa nakuwa wa mwisho kujua. Kwa vile na wewe uko Kigoma mwambie awasiliane na mimi.Kwani Auntie yangu Makii yupo kwenye kampeni kigoma
...sijui kwanini huwa nakuwa wa mwisho kujua. Kwa vile na wewe uko Kigoma mwambie awasiliane na mimi.Kwani Auntie yangu Makii yupo kwenye kampeni kigoma
....binamu, huyu Atoto alishirikiana na Tresor Mandala wakasema mimi ni mstaafu hivyo Makii asinikaribie sana, hawakujali hata kwamba nina miti ya mikorosho na huwa navuna kila msimu.
Auntie yako amelamba teuzi🤣Kwani Auntie yangu Makii yupo kwenye kampeni kigoma
Akuuu, mueleweshe mwenyewe
🤣🤣🤣 ndio ushazidiwa kete sasa.....binamu, huyu Atoto alishirikiana na Tresor Mandala wakasema mimi ni mstaafu hivyo Makii asinikaribie sana, hawakujali hata kwamba nina miti ya mikorosho na huwa navuna kila msimu.
Unataka nikuletee korosho binamu? Kama zawadi
....binamu, huyu Atoto alishirikiana na Tresor Mandala wakasema mimi ni mstaafu hivyo Makii asinikaribie sana, hawakujali hata kwamba nina miti ya mikorosho na huwa navuna kila msimu.
Unataka nikuletee korosho binamu? Kama zawadi




wamepishana na gari ya mshahara binamu
WeehAuntie yako amelamba teuzi![]()
Hatujambo P habari yakoNawasalimu wote humu ndani Shunie Lee Tresor Mandala makaveli10 Obe moudgulf Carasco Putin Mjep Makiwendo min -me Atoto Atoto Atoto
Nawasalimu wote humu ndani Shunie Lee Tresor Mandala makaveli10 Obe moudgulf Carasco Putin Mjep Makiwendo min -me Atoto Atoto Atoto
Salama mkuu za kwakoNawasalimu wote humu ndani Shunie Lee Tresor Mandala makaveli10 Obe moudgulf Carasco Putin Mjep Makiwendo min -me Atoto Atoto Atoto
🤣🤣🤣 ndio upambane nae.Binamu ana kichwa kizito bwanah![]()
Aiseeeeh!Nawasalimu wote humu ndani Shunie Lee Tresor Mandala makaveli10 Obe moudgulf Carasco Putin Mjep Makiwendo min -me Atoto Atoto Atoto
...kakusalimia kikristo kabisa mara tatu. Usishangae shemegiAiseeeeh!
Shemegi hii salamu hapana🤣🤣🤣...kakusalimia kikristo kabisa mara tatu. Usishangae shemegi
Hahahaha,hz tuhuma ujue....binamu, huyu Atoto alishirikiana na Tresor Mandala wakasema mimi ni mstaafu hivyo Makii asinikaribie sana, hawakujali hata kwamba nina miti ya mikorosho na huwa navuna kila msimu.
Unataka nikuletee korosho binamu? Kama zawadi
Hahahaha,umeikataa ?Shemegi hii salamu hapana🤣🤣🤣