Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,375
- 176,224
🤣🤣🤣🤣 leo nahakikisha hugusi kilevi.Hapo sawa na nikishiba nashushia na bohora la mbege🤣
🤣🤣🤣🤣 leo nahakikisha hugusi kilevi.Hapo sawa na nikishiba nashushia na bohora la mbege🤣
Hata hivyo , now nimepumzika nataka nimalize mwaka kabisa bila kunywa pombe kali zaidi ya wine tu🤣🤣🤣🤣 leo nahakikisha hugusi kilevi.
Mapinduzi yasiyo ya kijeshiHuh! Kwahiyo umekubali tufanye mapinduzi?
Mmmmh! Ngoja tuone🤣Hata hivyo , now nimepumzika nataka nimalize mwaka kabisa bila kunywa pombe kali zaidi ya wine tu
🤣🤣🤣🤣 usitupangie! Tunakuja na silaha zoteMapinduzi yasiyo ya kijeshi
Hahahaha 🤣,doh🤣🤣🤣🤣 usitupangie! Tunakuja na silaha zote
Sawa haina tatizo, ukimaliza utanikuta hapaNgoja kwanza nimsikilize boss Obe
Aaah mwizi jeuri wewe🤣Sawa haina tatizo, ukimaliza utanikuta hapa
Hahahaha,mwizi anajiaminiAaah mwizi jeuri wewe🤣
Hahahaha 🤣,ajipangeAaah basi tena! Obe Kwisha habari yako.
We tukifanya mapinduzi na miguu tunakuvunja walah🤣🤣Hahahaha 🤣,ajipange
Mie Niko fit sana,mjeda kasoro magwandaWe tukifanya mapinduzi na miguu tunakuvunja walah🤣🤣
Hapo ndipo umuhimu wa Espy toto unapoonekana.Yupo na mubaba.
Auntie we unanijua me na kigoma wapi na wapiiiauntie useme vizuri.

He he karibu sana minShindii nataka nihamie makapuku forum
Asante sana mnipokee mwenyekitiHe he karibu sana min